Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
SASA huyu ustaadh aliyeibiwa hakuna simu poa wenye makao makuu yao pale CCM BAR ..zenj asiyemfahamu..akifika huwa wanamshangilia kwa kuwa wanakuwa wana uhakika...lakini hata hivyo jamaa ni mtu asiyekuwa na makuu wala majivuno..ni jk style!!..ila kama wazanzibar wana jidanganya hawaongozwi au hawataongozwa na mlevi wanajidanganya [except for mzee mwinyi,jumbe and wakil..]
Kamanda hapo chumvi umezidisha, Mkuu huyo CCM Maisara sio baraza
yake...