KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Waziri wa Nishati na Madini amepanga kutembelea Mgodi wa Tanzanite One kabla ya kutoa lesseni ambapo ilizuiliwa baada ya kukwepa kodi ya US$ 2m au Tshs3.5 bils.
Hata hivyo uongozi wa mgodi huo unafanya maandalizi ya kumupokea Waziri huyo ambaye anatarajiwa kufika kesho huku wakihaha kuficha tuhuma za kumunyanyasa Koplo Raphael ambaye aliumia kazini na kupoteza mkono na Macho!!!
Koplo Raphael tayari ameandika barua ya kulalamika Ikulu juu ya unyama huo
Hata hivyo uongozi wa mgodi huo unafanya maandalizi ya kumupokea Waziri huyo ambaye anatarajiwa kufika kesho huku wakihaha kuficha tuhuma za kumunyanyasa Koplo Raphael ambaye aliumia kazini na kupoteza mkono na Macho!!!
Koplo Raphael tayari ameandika barua ya kulalamika Ikulu juu ya unyama huo