kutokana na kauli yake bungeni kuwa kukatika kwa umeme itakuwa ni historia katika nchi hii wale mafisadi walioshika mpini wanajipanga kuhakikisha mgao unakuwepo ili kauli yake imfunge.
huyu bwana ametupa matumaini
tumuombee, tunawahitaji viongozi wa design hii katika nchi yetu. Mungu ampe nguvu na ujasiri na ulinzi na hekima aendelee kutenda yale yanayotarajiwa na watanzania
huo ndo mgao?leo umeme umekatika saa kumi usiku sabasana na mpaka sasa saa tisa na dakika 11 badu kurudi' hongera mafisadi!
macinkus
unadhani kwa system ya nchi yetu anaweza akafurukuta?isije ikawa ni kama kijiko cha sukari baharinihuyu bwana ametupa matumaini
tumuombee, tunawahitaji viongozi wa design hii katika nchi yetu. Mungu ampe nguvu na ujasiri na ulinzi na hekima aendelee kutenda yale yanayotarajiwa na watanzania
leo umeme umekatika saa kumi usiku sabasana na mpaka sasa saa tisa na dakika 11 badu kurudi' hongera mafisadi!
macinkus
huyu bwana ametupa matumaini
tumuombee, tunawahitaji viongozi wa design hii katika nchi yetu. Mungu ampe nguvu na ujasiri na ulinzi na hekima aendelee kutenda yale yanayotarajiwa na watanzania