Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,909
- 32,335
Hata ukimfuta mkono huna la kumfanya yeye ni tycoon Kama Yule mwamba wa kaskazini lowassa tu
Wewe hujui maana ya Forum hapa tunajadili hoja.
Halafu Mkono sio Tycoon kama unavyojidanganya Tycoon anachukuwa posho bungeni.
Tycoon ni Kazuo Okada, Carlos Slim Helu, Alisher Usmanov, Mikhail Prokhorov...Tanzania hakuna Tycoon.