Waziri wa Miundombinu (Zanzibar) ajiuzulu

Ni waziri wa miundombinu na uchukuzi wa Zanzibar kuwajibika na ajali ya meli ya hivi karibuni.
Yuko live Channel Ten mwenyewe anatangaza.
 
Huo ndio uongozi unapoharibu kaa pembeni pisha wengine na wao wafanye kazi' kuna miwaziri huku kwetu hata liharibu vp halijiuzulu litatafuta sababu hata uongo ili libaki madarakani'wengine mpaka wanaibiwa na makahaba lakini wanadunda tu hayana hata hisia za aibu'

tatizo mwenyekiti anawaambiaga "ni upepo tu utapita"
 
Huyo kalazimishwa na chama,kumbuka kauli ya Lipumba kwamba "waziri atatafakari achukue hatua".Kwa mwakyembe kujiuzulu,tusahau!Rais mtarajiwa wa wanaojiita makamanda wa kupinga ufisadi ajiuzulu? LAZIMA TUMLINDE!!
 
Nampongeza sana kwa uzalendo wake!!vipi huku kwetu?Mwinyi hana uzalendo huo?au anasubiria huruma za JK...awe mteule wa urais?kwa muungano upi sasa???alie tu atasikia kwenye NEC tuu
 
Ni uamuzi uliochelewa,lakini bado nampogeza pamoja na chama chake,hiyo wizara itawasumbua sana CUF,kwasababu kuna uchafu mwingi ambao washiriki wakuu ni maboss wa CCM Zanzibar.

Ukikubali ndoa huna budi kumvumilia mume!.......

CUF wanavumilia mengi ila ndio hivyo tena hawana jinsi ndoa inawalazimisha!
 
Jamani TZ Bara ikitekelezwa zana ya uwajibikaji , itabidi baraza la mawaziri livunjwe!!
 
Back
Top Bottom