mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Ni ajabu sana OCD wa Igunga hakuwa amechukua hatua hizi zinazoelekezwa na Waziri mpaka sasa, kielelezo kingine cha Polisi kupoteza uweledi wao. Anapaswa kuwajibishwa kwa hili
Kama anaimiliki hio bunduki kihalali kuna kosa gani?tusichanganye siasa na sheria
Kama anaimiliki hio bunduki kihalali kuna kosa gani?tusichanganye siasa na sheria
Mimi siitwi masaburi..Masaburi ni Meya wa Jiji la DSM! Mimi naitwa rejao!
Hivi mbona wewe mtoto unalazimishia sana kuingia kwenye siasa? Kule MMU ndio kunakufaa zaidi.
Unafahama maana ya neno asilimia kubwa?
Una data gani kuhusu haya maneno yako?
Siyo kila kitu lazima uchangie..jifunze kukaa kimya kwenye issue ambazo huzifahamu
Leo gazeti la Mwananchi leo limeandika kuwa Waziri wa Ndani Shamsi vuai Nahodha kawaagiza polisi kumhoji Mbunge wa Tabora Mjini, Aden Rage kuhusiana na tuikio lake la kubeba bastola kiunoni Igunga wakati akihutubia mkutano wa CCM wa kampeni.
Jee hili si thibitisho tosha la kile kinachodaiwa kila mara, hasa na Chadema, kwamba Polisi hupata maagizi kuhusiana na kazi zao kutoka kwa wanasiasa, hasa katika shughuli za kisiasa kama vile kampeni?
Jamani, kuna ushahidi mwingine zaidi ya agizo hili la waziri kwa polisi? Kwani polisi si wako kibao Igunga, hawakuliona hili tukio. Jee ingekuwa ni Tundu Lissu ndiye alibeba silaha katika mkutano wa Chadema, saa hizi si angekuwa tayari lupango?
Unafahamu vema maana ya sheria??Je sheria za uchaguzi unazijua vizuri au ni valuer za mapema??Uruhusiwi kwenda kwenye mkutano wowote wakisiasa ukiwa na Silaha,wanao ruhusiwa ni vyombo vya usalama vilivyopewa jukumu hilo tu!Kama anaimiliki hio bunduki kihalali kuna kosa gani?tusichanganye siasa na sheria
Hivi Rejao unafahamu kwamba Bastola ni kitu kidogo sana? kama unadhani bastola ni ishu anza kufuatilia bei zake na mchakato wa kununua, Ukiwa na M1 unaipata ndani ya wiki mbili tuu, laki saba buying price, laki nne chai ya mamlaka husika.Unafahama maana ya neno asilimia kubwa?
Una data gani kuhusu haya maneno yako?
Siyo kila kitu lazima uchangie..jifunze kukaa kimya kwenye issue ambazo huzifahamu
Mbona hajatoa agizo Mukama ahojiwe kuhusiana na makomandoo kutoka libya na afganstan aliowataja kwa mbwembwe tena kwa majina na sehemu walipo??Leo gazeti la Mwananchi leo limeandika kuwa Waziri wa Ndani Shamsi vuai Nahodha kawaagiza polisi kumhoji Mbunge wa Tabora Mjini, Aden Rage kuhusiana na tuikio lake la kubeba bastola kiunoni Igunga wakati akihutubia mkutano wa CCM wa kampeni.
Jee hili si thibitisho tosha la kile kinachodaiwa kila mara, hasa na Chadema, kwamba Polisi hupata maagizi kuhusiana na kazi zao kutoka kwa wanasiasa, hasa katika shughuli za kisiasa kama vile kampeni?
Jamani, kuna ushahidi mwingine zaidi ya agizo hili la waziri kwa polisi? Kwani polisi si wako kibao Igunga, hawakuliona hili tukio. Jee ingekuwa ni Tundu Lissu ndiye alibeba silaha katika mkutano wa Chadema, saa hizi si angekuwa tayari lupango?
Jee ingekuwa ni Tundu Lissu ndiye alibeba silaha katika mkutano wa Chadema, saa hizi si angekuwa tayari lupango?
Leo gazeti la Mwananchi leo limeandika kuwa Waziri wa Ndani Shamsi vuai Nahodha kawaagiza polisi kumhoji Mbunge wa Tabora Mjini, Aden Rage kuhusiana na tuikio lake la kubeba bastola kiunoni Igunga wakati akihutubia mkutano wa CCM wa kampeni.
Jee hili si thibitisho tosha la kile kinachodaiwa kila mara, hasa na Chadema, kwamba Polisi hupata maagizi kuhusiana na kazi zao kutoka kwa wanasiasa, hasa katika shughuli za kisiasa kama vile kampeni?
Jamani, kuna ushahidi mwingine zaidi ya agizo hili la waziri kwa polisi? Kwani polisi si wako kibao Igunga, hawakuliona hili tukio. Jee ingekuwa ni Tundu Lissu ndiye alibeba silaha katika mkutano wa Chadema, saa hizi si angekuwa tayari lupango?
Angekuwa sasa hivi ananyea debe Tabora mjini na kupelekwa na chopa kabisa full ulinzi
Leo gazeti la Mwananchi leo limeandika kuwa Waziri wa Ndani Shamsi vuai Nahodha kawaagiza polisi kumhoji Mbunge wa Tabora Mjini, Aden Rage kuhusiana na tuikio lake la kubeba bastola kiunoni Igunga wakati akihutubia mkutano wa CCM wa kampeni.
Jee hili si thibitisho tosha la kile kinachodaiwa kila mara, hasa na Chadema, kwamba Polisi hupata maagizi kuhusiana na kazi zao kutoka kwa wanasiasa, hasa katika shughuli za kisiasa kama vile kampeni?
Jamani, kuna ushahidi mwingine zaidi ya agizo hili la waziri kwa polisi? Kwani polisi si wako kibao Igunga, hawakuliona hili tukio. Jee ingekuwa ni Tundu Lissu ndiye alibeba silaha katika mkutano wa Chadema, saa hizi si angekuwa tayari lupango?
kutembea na SIME lako hadharani ni kosa, kuhusu bastola tumia akili yk changanya na ya jirani ykKama anaimiliki hio bunduki kihalali kuna kosa gani?tusichanganye siasa na sheria
Kama alikuwa ametishiwa maisha kwa namna yeyote ile, je, aliwataarifu polisi ili waweze kulifanyia kazi hilo? Ama nani aliyeandikiwa kuwataarifu jeshi la polisi kwa aina yeyote ya kitisho na yupi yeye kapewa mamlaka ya kumkabili aliyemtisha pasipo kuitaarifu dola? Shame on him!Rage anasema alipanda nayo kwa kuwa mwenyekiti wa chadema igunga alimtishia maisha.
So Rage alipanda nayo ili kuitumia, na kwa nini asitoe taarifa polisi kama alitishiwa maisha. CCM karibu wataingia msituni.