Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame M. Mbarawa, leo (14/7/2011) akiwasilisha hotuba yake ya bajeti ya 2011/12, aliliambia Bunge kuwa hotuba yake iko hewani kwenye mtandao (website) wa wizara yake -- MST Website -- katika kutaka kuonesha kuwa wizara yake inakwenda na sayansi na teknolojia kwa vitendo.
Hadi ninapost thread hii ambapo wizara hiyo sasa inajumuisha majadiliano kwenye bajeti hiyo na Bunge kutakiwa kupitisha bajeti hiyo, hotuba yake haijawekwa kwenye website ya wizara yake.
Huku ni kulidanganya Bunge. Hawa viongozi wa serikali inabidi waanze kuchukuliwa hatua kali kwa kudanganya hovyo Bunge na wananchi na kutokuwa makini kwenye kazi zao.
Hotuba ambao iko kwenye website ni ya 2010/11 iliyotolewa mwaka jana na waziri wa zamani, Prof. Peter Msolla.
MST Website
Hadi ninapost thread hii ambapo wizara hiyo sasa inajumuisha majadiliano kwenye bajeti hiyo na Bunge kutakiwa kupitisha bajeti hiyo, hotuba yake haijawekwa kwenye website ya wizara yake.
Huku ni kulidanganya Bunge. Hawa viongozi wa serikali inabidi waanze kuchukuliwa hatua kali kwa kudanganya hovyo Bunge na wananchi na kutokuwa makini kwenye kazi zao.
Hotuba ambao iko kwenye website ni ya 2010/11 iliyotolewa mwaka jana na waziri wa zamani, Prof. Peter Msolla.
MST Website