Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #101
wewe subiri uone, but i hope wewe si mmoja waoWanaoongoza kutokuwa na vyeti ni ndugu wa wamiliki wa hayo makampuni binafsi. Mtawafanya nini?
wewe subiri uone, but i hope wewe si mmoja waoWanaoongoza kutokuwa na vyeti ni ndugu wa wamiliki wa hayo makampuni binafsi. Mtawafanya nini?
umeongea point,wakuelewa na aelewe,asyee...Na mimi nimekusaidia kumuelewa. Nani atamuajiri daktari kwa kuwa tu ana good attitude? Lakini ukiletewa madaktari wawili wa elimu sawa, utamchagua mwenye good attitude. Tujifunze kufikiri Watanzania, maisha ni mahesabu na sio wizi wizi
wrong does not cease to be wrong because the majority share in it, ndio maana wrong guys wanaendelea kutushambulia hapa mkuuhuu ni mkuki,wengi lazima wataichukia sana hii siredi..inachoma sana!
let the truth be told,hajalishi yana wachoma kiasi gani!wrong does not cease to be wrong because the majority share in it, ndio maana wrong guys wanaendelea kutushambulia hapa mkuu
asante sana kwa ufafahuzi kakaMfano wako tu mdogo unaonesha 'huna elimu'. Naomba unielewe vyema, sijasema hujasoma, nasema huna elimu. Fleet Management ni very serious profession ambayo sio tu inahitaji msomi, bali attitude as well. Tracking Devices kwenye magari yako zitakusaidia kuona mambo mawili matatu, je zitafanya pia maamuzi? GPS itapromote madereva, itasitisha route zisizo na faida, itabadili njia, au wewe shida yako ni kuziona tu?
Huu ujinga ujinga ndio unatufanya tushindwe kuwa wawekezaji. Rasilimali watu ni muhimu kuliko unavyodhani. Kuna tofauti ya kusambaza bia na kupromote market ya bia. Soko linapaswa liende likitanuka. Uache kuajiri mtu anayejua kufanya market analysis ukimbilie cheap labor kwa kudhani unasave. Biashara itakufia mkuu. Waulize wenzako waliokurupuka na mikopo kufuga mbuzi wa maziwa kwa kuwaajiri wachunga ng'ombe wawalishe...kuna mtu ana hamu ya mbuzi wa maziwa tena
iawezekana najibushana na mtu mwenye vyeti ambaye hajui anatakiwa kufanya nini, anaejua kulalamika tu.Mfano wako tu mdogo unaonesha 'huna elimu'. Naomba unielewe vyema, sijasema hujasoma, nasema huna elimu. Fleet Management ni very serious profession ambayo sio tu inahitaji msomi, bali attitude as well. Tracking Devices kwenye magari yako zitakusaidia kuona mambo mawili matatu, je zitafanya pia maamuzi? GPS itapromote madereva, itasitisha route zisizo na faida, itabadili njia, au wewe shida yako ni kuziona tu?
Huu ujinga ujinga ndio unatufanya tushindwe kuwa wawekezaji. Rasilimali watu ni muhimu kuliko unavyodhani. Kuna tofauti ya kusambaza bia na kupromote market ya bia. Soko linapaswa liende likitanuka. Uache kuajiri mtu anayejua kufanya market analysis ukimbilie cheap labor kwa kudhani unasave. Biashara itakufia mkuu. Waulize wenzako waliokurupuka na mikopo kufuga mbuzi wa maziwa kwa kuwaajiri wachunga ng'ombe wawalishe...kuna mtu ana hamu ya mbuzi wa maziwa tena
Hakuna chochote wala haichomi!Mimi ni mmoja wa watu niliyetoka na matokeo mazuri sana sec. hadi chuoni GPA 4!Niliingia mtaani nikiamini vyeti vyangu vitawa impress waajiri.Hata hivyo wengi walikuwa na mitizamo tofauti sana.Waliishia kusifu tu ufaulu wangu ila sikupata ajira hadi pale nilipoamua kubadili mitizamo yangu kuwa chanya ndipo nikagundua nimekuwa mtu muhimu sana na sasa kila mwajiri angependa kufanya kazi na mimi ila hata hivyo nimeamua kujiajiri mwenyewe.Nawashauri vijana mnapoingia sekta binafsi achaneni na kiburi cha vyeti,jishusheni,muonyeshe uwezo wenu mtakubalika tuu.Sio kuingia ofisini unataka uwe kama malkia ama mfalme kampuni ikutumikie wewe kisa tu eti una elimu,utachemsha asubuhi na kuja kulalamika mitandaonihuu ni mkuki,wengi lazima wataichukia sana hii siredi..inachoma sana!
zitafanya pia maamuzi? GPS itapromote madereva, itasitisha route zisizo na faida, itabadili njia, au wewe shida yako ni kuziona tu?Mfano wako tu mdogo unaonesha 'huna elimu'. Naomba unielewe vyema, sijasema hujasoma, nasema huna elimu. Fleet Management ni very serious profession ambayo sio tu inahitaji msomi, bali attitude as well. Tracking Devices kwenye magari yako zitakusaidia kuona mambo mawili matatu, je zitafanya pia maamuzi? GPS itapromote madereva, itasitisha route zisizo na faida, itabadili njia, au wewe shida yako ni kuziona tu?
Huu ujinga ujinga ndio unatufanya tushindwe kuwa wawekezaji. Rasilimali watu ni muhimu kuliko unavyodhani. Kuna tofauti ya kusambaza bia na kupromote market ya bia. Soko linapaswa liende likitanuka. Uache kuajiri mtu anayejua kufanya market analysis ukimbilie cheap labor kwa kudhani unasave. Biashara itakufia mkuu. Waulize wenzako waliokurupuka na mikopo kufuga mbuzi wa maziwa kwa kuwaajiri wachunga ng'ombe wawalishe...kuna mtu ana hamu ya mbuzi wa maziwa tena
waeleze vijana...Hakuna chochote wala haichomi!Mimi ni mmoja wa watu niliyetoka na matokeo mazuri sana sec. hadi chuoni GPA 4!Niliingia mtaani nikiamini vyeti vyangu vitawa impress waajiri.Hata hivyo wengi walikuwa na mitizamo tofauti sana.Waliishia kusifu tu ufaulu wangu ila sikupata ajira hadi pale nilipoamua kubadili mitizamo yangu kuwa chanya ndipo nikagundua nimekuwa mtu muhimu sana na sasa kila mwajiri angependa kufanya kazi na mimi ila hata hivyo nimeamua kujiajiri mwenyewe.Nawashauri vijana mnapoingia sekta binafsi achaneni na kiburi cha vyeti,jishusheni,muonyeshe uwezo wenu mtakubalika tu tuu.Sio kuingia ofisini unataka uwe kama malkia ama mfalme kampuni ikutumikie wewe kisa tu eti una elimu,utachemsha asubuhi na kuja kulalamika mitandaoni
SEKTA BINAFSI TUNAANGALIA ZAIDI UTENDAJI/UFANISI NA SIYO VYETI. KAMA KAMA UNA PHD KAMA HUWEZI MAJUKUMU YAKE UNAONDOKA TUU MWENYEWE BILA HATA KUANDIKIWA BARUAndugu zangu katika jamiiforums, bila shaka wote mu wazima wa afya,
kwa kuzingatia ukweli kuwa sekta binafsi hapa tanzania ndio imeajiri wafanyakazi wengi kuliko hata taasisi za serikali, hivyo kwa namna yoyote ile utendaji kazi wao unaathari (negatively or positively) kubwa sana katika uchumi na ustawi wa taifa letu, baada ya waziri wa kazi kuamuru kufanyika kwa zoezi la ukaguzi wa vyeti kwa watumisi wote wa mashirika ya umma, atakuwa na mpango gani kwa watumishi wa sekta/makampuni binafsi walioajiriwa kwa ujanja ujanja na baadhi kwa kutoa rushwa za ngono ama kutumia vyei visivyo halali. ninafahamu fika ya kuwa waziri wa kazi (serikali) has limited scope juu ya namna ya uendeshwaji wa mashirika na kampuni binafsi, lakini wafanyakazi ****** waliopo na kujaa huko katika kampuni binafsi wanaumiza uchumi wa nchi yetu kupitia utoaji wa huduma mbovu na zisizokidhi viwango.
watanzania kamwe hawataweza kushindana na watu kutoka nchi zingine katika jumuiya ya afrika mashariki kama tatizo la ubabaishaji katika utoaji wa huduma katika sekta binafsi alitadhibitiwa mapema
naomba kuwasilisha.
yani bora hata usingeandika, hujui hata mimi nimeandika nini hapo juu? didi you read the whole message ama umekurupuka tu usingizini? hapa tunazungumzia watu kutumia vyeti vya watu wengine kupata kazi pamoja na watu kupata kazi ambazo hawana sifa wala taaluma katika kazi husika jambo linalopelekea utoaji wa huduma mbovu zinazoathiri uchumi na ustawi wa taifa letuHakuna chochote wala haichomi!Mimi ni mmoja wa watu niliyetoka na matokeo mazuri sana sec. hadi chuoni GPA 4!Niliingia mtaani nikiamini vyeti vyangu vitawa impress waajiri.Hata hivyo wengi walikuwa na mitizamo tofauti sana.Waliishia kusifu tu ufaulu wangu ila sikupata ajira hadi pale nilipoamua kubadili mitizamo yangu kuwa chanya ndipo nikagundua nimekuwa mtu muhimu sana na sasa kila mwajiri angependa kufanya kazi na mimi ila hata hivyo nimeamua kujiajiri mwenyewe.Nawashauri vijana mnapoingia sekta binafsi achaneni na kiburi cha vyeti,jishusheni,muonyeshe uwezo wenu mtakubalika tuu.Sio kuingia ofisini unataka uwe kama malkia ama mfalme kampuni ikutumikie wewe kisa tu eti una elimu,utachemsha asubuhi na kuja kulalamika mitandaoni
Ndio maana nikakwambia HUNA ELIMU. Level yako ya uwekezaji unaouwaza unaishia kwenye UJASIRIAMALI. Wawekezaji wakubwa hawafanyi kazi zao kwa mtindo huo. Unasema 'akishaziona ndio anafanya maamuzi' nani sasa? Kuna haja gani ya kuwa na managers na admins kama owner wa kampuni anafanya maamuzi mwenyewe?zitafanya pia maamuzi? GPS itapromote madereva, itasitisha route zisizo na faida, itabadili njia, au wewe shida yako ni kuziona tu?
unajaza kurasa tu. akishaona ndio anafanya maamuzi.
100% correctNdio maana nikakwambia HUNA ELIMU. Level yako ya uwekezaji unaouwaza unaishia kwenye UJASIRIAMALI. Wawekezaji wakubwa hawafanyi kazi zao kwa mtindo huo. Unasema 'akishaziona ndio anafanya maamuzi' nani sasa? Kuna haja gani ya kuwa na managers na admins kama owner wa kampuni anafanya maamuzi mwenyewe?
Fleet Manager ndio mwenye kazi hiyo. Kwa bosi wake yeye ataenda kupeleka proposals, ammendments, kuomba approvals na kusuggest hiki na kile. Sasa sehemu ya kumuweka mtu professional umuweke 'mtu wa aina yako' yaani mbangaizaji halafu ulazimike tena kujihangaisha na GPS badala ya kuwaza strategic issues, huo ni uwekezaji au ujasiriamali?
Hebu iwaze kampuni kama PUMA ENERGY halafu waza huo upuuzi wako wa form 4 kusoma GPS huku mmebeba fuel ya millions of money. Ndugu yangu tuache blah blah, mimi sitafuti ajira nina biashara zangu. Nakueleze umuhimu wa elimu katika kila unachofanya. Hata huko kujiajiri utajiajiri kwa kufoji nini sasa, ideas? Forgery haina excuses...ni criminal offense na inapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.
Kampunii binafsi nankakutuma ufanye huko..yyeye anakaguaa vya serikali we aukoserikalin kaakimya misumari iwaingie kakazenu NA Dada zenu mabinti kadhaa wa nssf washaresign awajawambiandugu zangu katika jamiiforums, bila shaka wote mu wazima wa afya,
kwa kuzingatia ukweli kuwa sekta binafsi hapa tanzania ndio imeajiri wafanyakazi wengi kuliko hata taasisi za serikali, hivyo kwa namna yoyote ile utendaji kazi wao unaathari (negatively or positively) kubwa sana katika uchumi na ustawi wa taifa letu, baada ya waziri wa kazi kuamuru kufanyika kwa zoezi la ukaguzi wa vyeti kwa watumisi wote wa mashirika ya umma, atakuwa na mpango gani kwa watumishi wa sekta/makampuni binafsi walioajiriwa kwa ujanja ujanja na baadhi kwa kutoa rushwa za ngono ama kutumia vyei visivyo halali. ninafahamu fika ya kuwa waziri wa kazi (serikali) has limited scope juu ya namna ya uendeshwaji wa mashirika na kampuni binafsi, lakini wafanyakazi ****** waliopo na kujaa huko katika kampuni binafsi wanaumiza uchumi wa nchi yetu kupitia utoaji wa huduma mbovu na zisizokidhi viwango.
watanzania kamwe hawataweza kushindana na watu kutoka nchi zingine katika jumuiya ya afrika mashariki kama tatizo la ubabaishaji katika utoaji wa huduma katika sekta binafsi alitadhibitiwa mapema
note: hapa tunazungumzia watu wanaotumia vyeti vya watu wengine ama bandia kupata kazi pamoja na watu kupata kazi ambazo hawana sifa wala taaluma husika jambo linalopelekea utoaji wa huduma mbovu zinazoathiri uchumi na ustawi wa taifa letu
Hakuna aliyesema hapa kuwa watu wenye vyeti sio wajinga...wajinga mpo kama unavyoshuhudia hapa. Lakini mbadala wake ni kuajiri MWENYE CHETI ASIYE MJINGA na sio kuokota asiye na vyeti kwa mtindo wa sandakalawe.Hakuna chochote wala haichomi!Mimi ni mmoja wa watu niliyetoka na matokeo mazuri sana sec. hadi chuoni GPA 4!Niliingia mtaani nikiamini vyeti vyangu vitawa impress waajiri.Hata hivyo wengi walikuwa na mitizamo tofauti sana.Waliishia kusifu tu ufaulu wangu ila sikupata ajira hadi pale nilipoamua kubadili mitizamo yangu kuwa chanya ndipo nikagundua nimekuwa mtu muhimu sana na sasa kila mwajiri angependa kufanya kazi na mimi ila hata hivyo nimeamua kujiajiri mwenyewe.Nawashauri vijana mnapoingia sekta binafsi achaneni na kiburi cha vyeti,jishusheni,muonyeshe uwezo wenu mtakubalika tuu.Sio kuingia ofisini unataka uwe kama malkia ama mfalme kampuni ikutumikie wewe kisa tu eti una elimu,utachemsha asubuhi na kuja kulalamika mitandaoni
nilikuwa nataka nisiandike tena maana huna la kunishauri, ila ulipotolea mfano wa puma nimecheka. nilifanya kampuni kubwa kama hiyo au hiyo na kwa nafasi!! 20yrs+ hakuna ulichoandika sikijui!! ila kuna tofauti kubwa sana kati ya sekta binafsi na ya umma...Ndio maana nikakwambia HUNA ELIMU. Level yako ya uwekezaji unaouwaza unaishia kwenye UJASIRIAMALI. Wawekezaji wakubwa hawafanyi kazi zao kwa mtindo huo. Unasema 'akishaziona ndio anafanya maamuzi' nani sasa? Kuna haja gani ya kuwa na managers na admins kama owner wa kampuni anafanya maamuzi mwenyewe?
Fleet Manager ndio mwenye kazi hiyo. Kwa bosi wake yeye ataenda kupeleka proposals, ammendments, kuomba approvals na kusuggest hiki na kile. Sasa sehemu ya kumuweka mtu professional umuweke 'mtu wa aina yako' yaani mbangaizaji halafu ulazimike tena kujihangaisha na GPS badala ya kuwaza strategic issues, huo ni uwekezaji au ujasiriamali?
Hebu iwaze kampuni kama PUMA ENERGY halafu waza huo upuuzi wako wa form 4 kusoma GPS huku mmebeba fuel ya millions of money. Ndugu yangu tuache blah blah, mimi sitafuti ajira nina biashara zangu. Nakueleze umuhimu wa elimu katika kila unachofanya. Hata huko kujiajiri utajiajiri kwa kufoji nini sasa, ideas? Forgery haina excuses...ni criminal offense na inapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.
Kwa hiyo ukashawishika kuandika tena ili tu uniambie UMECHEKA? Nilifikiri utaandika juu ya namna ulivyofanya kazi za fleet management bila kuwa na managerial skills. Kweli unatosha kujiajiri...safi sananilikuwa nataka nisiandike tena maana huna la kunishauri, ila ulipotolea mfano wa puma nimecheka. nilifanya kampuni kubwa kama hiyo au hiyo na kwa nafasi!! 20yrs+ hakuna ulichoandika sikijui!! ila kuna tofauti kubwa sana kati ya sekta binafsi na ya umma...
Mkuu, usipoteze muda! Wewe kuna mtu anakupangia jinsi ya kuendesha familia yako??
Ndio. Mbona wanalazimishwa kuajiri Watanzania?