Waziri wa Kazi, vipi kuhusu ukaguzi wa vyeti vya elimu katika kampuni binafsi?

kaka, mambo sio rahisi kama unavyofikiri. kuna story ya jamaa mmoja kumfanyia mgonjwa operation ya tezi dume ilhali yeye hakusomea udaktari, he was just an attendant, sasa hali kama hii wewe unaitetea vipi?[/Color]


Hapo inaonesha huna uhakika.

Usinichukulie naunga mkono watu kumiliki fake certificate la hasha bali kuna some of field hazihitaji hizo certificate.


 
lengo ni zuri ila process yao ndio itawafanya wasiwakamate wote, na sijui kampuni binafsi unazoziongelea wewe ni zipi, kama ni hizi kampuni uchwara sawa, lakini kama unamaanisha Private sectors kama non governmental organisations basi hamna watu wako makini kama hawa, kabla hujapewa hata offer letter wanafanya reference check/verification za kutosha hadi kama umewahi kuhusishwa na crime yoyote ile.
kampuni zote zilizosajiliwa kwa mujibu wa sheria kufanya kazi hapa nchini
 

Hapo inaonesha huna uhakika.

Usinichukulie naunga mkono watu kumiliki fake certificate la hasha bali kuna some of field hazihitaji hizo certificate.

Eddy, kama kuingia kwenye ndoa tu mwanamke anafanyiwa kitchen party, kuna field gani ambazo haziihitaji mtu kusomea taaluma husika?
 
Kuna kampuni binafsi moja kubwa hapa Tanzania ijumaatatu hii wafanyakazi wamekutana na email ya kusubmit original academic certificates for verification .... Ngoja tusubiri mrejesho mkuu
hahahaaaaaaa..............safi sana nimependa hiyo
 
ndugu zangu katika jamiiforums, bila shaka wote mu wazima wa afya,

kwa kuzingatia ukweli kuwa sekta binafsi hapa tanzania ndio imeajiri wafanyakazi wengi kuliko hata taasisi za serikali, hivyo kwa namna yoyote ile utendaji kazi wao unaathari (negatively or positively) kubwa sana katika uchumi na ustawi wa taifa letu, baada ya waziri wa kazi kuamuru kufanyika kwa zoezi la ukaguzi wa vyeti kwa watumisi wote wa mashirika ya umma, atakuwa na mpango gani kwa watumishi wa sekta/makampuni binafsi walioajiriwa kwa ujanja ujanja na baadhi kwa kutoa rushwa za ngono ama kutumia vyei visivyo halali. ninafahamu fika ya kuwa waziri wa kazi (serikali) has limited scope juu ya namna ya uendeshwaji wa mashirika na kampuni binafsi, lakini wafanyakazi ****** waliopo na kujaa huko katika kampuni binafsi wanaumiza uchumi wa nchi yetu kupitia utoaji wa huduma mbovu na zisizokidhi viwango. naomba kuwasilisha.
Nyie wahanga wa kukosa ajira mnamatatizo kweli unathani sekta binafsi wanaangalia hayo makaratasi ya vyeti jipange kujiajiri miaka inayoyoma ukisubiri ajira
 
Nyie wahanga wa kukosa ajira mnamatatizo kweli unathani sekta binafsi wanaangalia hayo makaratasi ya vyeti jipange kujiajiri miaka inayoyoma ukisubiri ajira
mimi siwezi kukwambia kama nimejiajiri ama nimeajiriwa kampuni gani, lakini kaa ukijua inakera sana kukaa ofisi moja na watu weupe kabisa vichwani mwao to the extent kwamba natumia nguvu nyingi kumuelekeza mtu kitu ambacho hana taaluma nacho kisa dada yake ni boss wa HR
 
kitchen party mbwembwe tu....

Mkuu zipo nyingi tu sema nikizitaja waliosomea watanitolea povu kuwa sizitendei haki field zao. Ila all in all tunahitaji uelewa kuliko vyeti.
eddy unasema "tunahitaji uelewa kuliko vyeti" sasa huo uelewa unatoka wapi basipo mtu kupita chuo kupata mafunzo ya taaluma husika mkuu???!!!!!!!!!
 
ila kuna maeneo lazima kuwe na usimamizi wa dola, standardization. Mfano walimu, madk, engineers,
kaka, wewe nadhani umeelewa ninamaanisha nini. watu wanafikiri kuwa sekta binafsi ndio kuachwa wafanye mambo kiholela holela tu. wananipigia kelele kulinda ugali wao
 
Back
Top Bottom