Waziri wa Habari na Michezo Emanuel Nchimbi atakiwa kujiuzulu

''vodacom na waziri Nchimbi ubinadamu ni zero ni bora kushuudia walimbwende na mikogo ya kuhingia kuliko kuonyesha utu . Visingizio vya kupata hasara suala la Michezo kutokuwa miongoni mwa masuala ya muhungano'' ni matusi na Dharau kwa watanzania
Hiyo nukuu kaitoa nani wewe mleta habari feki wewe? Atakiwa kujiuzulu na nani, Dot Connector. Halafu nukuu yenyewe inaendelezwa na opinion yako. Shule gongana!
 
msamiati huu unastahiri kufutwa kwenye kamsi ya kiswahili kwani hautumiki, kibaya zaidi bunge halipo lingeweza hata kuunda kamati ya kuchunguza ili mchawi abainike kisha ashauliwe mkuu wa kaya amfanye amejiuzuru au amtafute mahali pa kula pengine

ameshindwa kujiuzuru Ngeleja ataweza wapi Nchimbi
 
Sakata la TBC Kuonyesha muziki wa Taarab na Vodacom miss Tanzania kufanyika wakat Taifa likiwa limegubikwa na Janga / Msiba mkubwa wa kitaifa limechukua sura mpya baada ya waziri wa habari na michezo emanuel Nchimbi kutakiwa ajiuzulu mara moja .''vodacom na waziri Nchimbi ubinadamu ni zero ni bora kushuudia walimbwende na mikogo ya kuhingia kuliko kuonyesha utu . Visingizio vya kupata hasara suala la Michezo kutokuwa miongoni mwa masuala ya muhungano'' ni matusi na Dharau kwa watanzania>

Mpaka saa moja jioni kituo cha Televisheni cha Taifa (TBC) Kilikuwa kinaonyesha watu wakicheza muziki wa Congo ,wanawake wakikatika viuno na hata ngoma za kienyeji.Si dharau kwa watanzania tu bali ni tusi kwa Rais Kikwete na Makamu wa Rais Dr Bilal.Makamu wa Rais na Rais wamejitahidi sana wameonyesha uongozi wa Dhabiti katika juhudi za uhokoaji .Ikumbukwe Rais Kikwete alifuta ziara yake huko canada ziara iliyokuwa imeandaliwa muda mrefu na kwa Gharama kubwa ,Lakini Rais aliona ni vema kufuta ziara kuliko kuwa nje ya Nchi na kutangaza siku 3 za maomboleza

Waziri Nchimbi kushindwa kusimamia na kutekeleza maelekezo ya Rais ya 3 ya maombolezo ni dharau na matusi kwa Watanzania Wote na kwa mabosi wake Rais Kikwete na Makamu wa Rais.Kwa mantiki hizo zote kwa busara za kawaida tena pasipo shuruti waziri Nchimbi ajiuzulu mara moja

sio kwamba alisitisha uzururaji kwa sababu angeenda huko wangemshangaa na sababu ya pili ni kutokana na yeye kuwa ni mmoja kati ya marais wa nchi anaependa kuonekana maeneo ya shuguli mbalimbali kama harusi,misiba ili ajiongezee popularity.

ni hayo tu jioni njema..
 
suala ni kuhoji kwa nini tbc hawakuonyesha uzalendo katika kutoa habario ... lkn suala la vodacom miss hilo nadhani anatakiwa ajibu uncle lundega na team yake
 
Viongozi wa TZ hawana utamaduni wa kujiuzulu. Bosi mwenyewe legelege, hana ubavu wa kumwajibisha yeyote - shame!
 
Mbona TFF haiguswi?? Iliruhusu ligi iendelee!! Lkn bado Nchimbi anahusika hata kwenye ligi

tehetehe

na wale wote walioshiriki tamasha la mamiss pamoja na wale waliotizama mashindano kupitia TV wakati Taifa linaomboleza wawajibishwe
 
Haya ni mawazo mfu tu nyie wazenji, hajiuzuru mtu wala nini... Hajajiuzuru Ngereja kwa janga kubwa la umeme linalouwa uchumi wa nchi ndo aje kujiuzuru Nchimbi eti kisa kuna malaya wameonesha chupi TBC1 wakati wananchi wa taifa la zanzibar wanalia..!! Nasema hilo halipo na kamwe halitakuwepo katika serikali inayoongozwa na chama cha majoka.
 
Haya ni mawazo mfu tu nyie wazenji, hajiuzuru mtu wala nini... Hajajiuzuru Ngereja kwa janga kubwa la umeme linalouwa uchumi wa nchi ndo aje kujiuzuru Nchimbi eti kisa kuna malaya wameonesha chupi TBC1 wakati wananchi wa taifa la zanzibar wanalia..!! Nasema hilo halipo na kamwe halitakuwepo katika serikali inayoongozwa na chama cha majoka.
<br />
<br />


Uhuru wa kutoa maoni kwa Mujibu wa Katiba.

Safari hii kazi Ipo!

Haya kila la kweri kwa watakao jiuzuru.
.
 
Kwa nchi kama hii ya kwetu inatakiwa tuanzishe mfumo kama wa kule China, wa kunyonga kila anayetia hasara hazina za taifa lake na uanzie kwa nchimbi ili uwe ni mfano bora wa kuiggwa na wenzake wote wa aina yake
 
Nchimbi aliona kinachoendelea kwenye TBC1 na ana contact za moja kwa moja na uongozi wa juu wa TBC kwa kuwashauri wasitishe maonyesho hayo na badala yake wageukie upande wa msiba ambao hisia za watu ziko. Wote wawili bosi wa TBC na Nchimbi wanabeba lawama.

Hawezi kujiuzulu,tena anaweza kujitokeza hadharani na kusema hawezi kamwe,mmesahau ya Husein Mwinyi wakati wa Mabomu ya Gongola Mboto?
 
Sakata la TBC Kuonyesha muziki wa Taarab na Vodacom miss Tanzania kufanyika wakat Taifa likiwa limegubikwa na Janga / Msiba mkubwa wa kitaifa limechukua sura mpya baada ya waziri wa habari na michezo emanuel Nchimbi kutakiwa ajiuzulu mara moja .''vodacom na waziri Nchimbi ubinadamu ni zero ni bora kushuudia walimbwende na mikogo ya kuhingia kuliko kuonyesha utu . Visingizio vya kupata hasara suala la Michezo kutokuwa miongoni mwa masuala ya muhungano'' ni matusi na Dharau kwa watanzania

Mpaka saa moja jioni kituo cha Televisheni cha Taifa (TBC) Kilikuwa kinaonyesha watu wakicheza muziki wa Congo ,wanawake wakikatika viuno na hata ngoma za kienyeji.Si dharau kwa watanzania tu bali ni tusi kwa Rais Kikwete na Makamu wa Rais Dr Bilal.Makamu wa Rais na Rais wamejitahidi sana wameonyesha uongozi wa Dhabiti katika juhudi za uhokoaji .Ikumbukwe Rais Kikwete alifuta ziara yake huko canada ziara iliyokuwa imeandaliwa muda mrefu na kwa Gharama kubwa ,Lakini Rais aliona ni vema kufuta ziara kuliko kuwa nje ya Nchi na kutangaza siku 3 za maomboleza

Waziri Nchimbi kushindwa kusimamia na kutekeleza maelekezo ya Rais ya 3 ya maombolezo ni dharau na matusi kwa Watanzania Wote na kwa mabosi wake Rais Kikwete na Makamu wa Rais.Kwa mantiki hizo zote kwa busara za kawaida tena pasipo shuruti waziri Nchimbi ajiuzulu mara moja
acha kuandika habari za uchochezi wewe hapo kwenye redi unaacha maswali mengi:
1)maneno hayo amesema nani?,
2) kwa mamlaka gani aliyonayo mtu huyo mpaka aamuaru Nchimbi ajiuzuru mara moja?
3) hapa unawakilisha mawazo yako, ya wananchi au mamlaka fulani ya kiseriakali?
3) kama ni mawazo ya watu walio wengi au mamlaka ya serkali source ya habari yako ni ipi?
4) kama ni mawazo yako kwa nini uyawakilishe kana kwamba umemnukuu mtu mwenye mamlaka ya kumuwajibisha Nchimbi?
5) kiswahili chako na wewe ni sufuri kwa sababu badala ya thabiti wewe unaandika Dhabiti na badala ya uokoaji wewe unaandika uhokoaji
 
Haya ni mawazo mfu tu nyie wazenji, hajiuzuru mtu wala nini... Hajajiuzuru Ngereja kwa janga kubwa la umeme linalouwa uchumi wa nchi ndo aje kujiuzuru Nchimbi eti kisa kuna malaya wameonesha chupi TBC1 wakati wananchi wa taifa la zanzibar wanalia..!! Nasema hilo halipo na kamwe halitakuwepo katika serikali inayoongozwa na chama cha majoka.
miss tz haikuonyeshwa na TBC1
 
Ndugu haya ni matokea ya kuwa viongozi wasio na maadili. Kwa ujumla serikali nzima haina viongozi wenye uelekeo na utaifa wanachojali ni maslahi binafsi, ajali imewagusa watanzania inahuzunisha sana kuona jinsi viongozi wetu walivyodhaifu huyu Nchimbi alikuwa na Ph.d ya kuokota sishangai sana angekuwa na upeo wa kweli kielimu angeitumia, inawezekana kabisa hana busara za kuzaliwa nazo ameshindwa kuonesha busara kielimu?
Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
TBC sio chombo huru kipo chini ya serikali na ndiyo sababu wakurugenzi wake wanapewa mikataba na serikali muulize Dunstan Tido Mhando
Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Neno Jiuzuru kwa miafrika si neno gumu zaidi na pekee bali ni msamiati mgumu kueleweka kwao .
 
Msidhani kwamba TBC walionyesha muziki badala ya tukio la ajali kwa makusudi. Suala ni kwamba hiki ni chombo chenye incompetence ya hali ya juu sana. Ukweli ni kwamba hawakuwa na reporter kwenye eneo la tukio na ninaamini hata kufanikisha upatikanaji wake haraka walishindwa pengine hakuwepo boss wa kusaini posho ya reporter na timu yake kwenda Zanzibar.
Hata kama kungekuwepo utaratibu wa kujiuzulu Nchimbi angejiuzulu kwa sababu gani? Vipi BASATA, uongozi wa Mlimani City Conference Centre na wengineo?
Hili ni suala la uzembe wa Wazanzibari kwa hiyo kama ni kujiuzulu watajuana wenyewe. Miss Tanzania ni shughuli ya kibiashara na si ya kitaifa kiasi cha kufanya eti Waziri anayehusika ajiuzulu. Yeye hakuwa chanzo, kwani misiba ya Watanganyika inapotokea wao huwa wanasitisha shughuli zao? Tusijikombe kwa hawa watu kiasi hicho, Waziri wa nchi moja hawezi kujiuzulu eti kwa vile hakuomboleza msiba wa nchi jirani, come on!
 
Back
Top Bottom