Waziri wa fedha hawezi kutamka neo TRILIONI

Ulukolokwitanga

JF-Expert Member
Sep 18, 2010
8,396
7,968
Kuthibitisha kuwa amesoma zamani wakati fedha ina thamani na ma figure makubwa sana walikuwa hawayatumii waziri wa fedha Dk William Mgimwa ameshindwa kutamka neno trilioni hata mara moja wakati anasoma vifungu vya bajeti na kuishia kusema milioni laki moja... au bilioni elfu moja...

My Take: huyu jamaa hajazoea mahela yenye figure kubwa na digit nyingi kama akina Shimbo tukiskia tu ameagiza ma Vogue mengi kama Mkullo tutajua ni hela yetu imekwapuliwa
 
Sio hilo tu maneno mengi sana kashindwa kuyatamka ipasavyo kumbuka hiyo ni dr and he cannot overcome the mother tongue.Hapo bado kiinglish
 
Sasa hii ni habari ya kisiasa? au Majivuno? MODS wako wapi waitoe hii habari hapa?
 
Ulukolo kwitanga kwa lugha yetu ya kihehe manake "wandungu tunasaidiana"....msishutumu sana matamshi yake,Daktari Mgimwa ameathrika sana na lugha ya kihehe...wahehe (nikiwemo mimi) kuna maneno piga ua siyawezi...Inji=nchi,conglushen=conclusion,sida=shida,indanational=international,
 
Huyu jamaa eti alikuwa anafundisha chuo cha BOT-Mwanza kabla ya kuwa mbunge. Kama yeye yuko ivo product zake zitafananaje? Nilifikiri ni mimi tu nilipata shida kufuatilia hotuba yake kumbe tupo wengi..! tena hataji increment ya kodi kwa asilimia au hata ratio, anataja figure tu.
 
kurasa za bajeti zilikuwa nyingi ni hilo tu umekaa ukaona litatuondolea umasikini wetu?
 
Matamshi mengine yanawapotosha watoto wa shule na wanaweza kujikuta wanajibu kimakosa kwenye mitihani.
Mfano nilionasa;

Makambuni badala ya Makampuni


Waandishi wengi wa habari nao wanapotosha; Mfano Mareria au Malelia badala ya Malaria

Hata hivyo Hongera sana Mheshimiwa, umeanza na mguu mzuri.
 
Budget Tanzania Tsh trillioni 13. Budget Kenya Ksh triliioni 1.4=Tsh trilionn 26. All things being equal Kenya wanapiga hatua mbili mbele Tanzania hatua moja.
 
siwezi kusema chochote kuhusu huyu jamaa, tangia nione cv yake, nikasema ngoja nione utendaji wake ndo nitasema...ila nina wasiwasi naye sana tangu alipoteuliwa...
 
Ulukolo kwitanga kwa lugha yetu ya kihehe manake "wandungu tunasaidiana"....msishutumu sana matamshi yake,Daktari Mgimwa ameathrika sana na lugha ya kihehe...wahehe (nikiwemo mimi) kuna maneno piga ua siyawezi...Inji=nchi,conglushen=conclusion,sida=shida,indanational=international,
Mtu unajua vitu huviwezi, sasa ya nini mikogo yote ile? Mara acheke, mara aseme "nirudie tena" Mara hamjaelewa? hajui wakubwa wenzake walikuwa wanamshangaa kuchachawa namma ile?
 
Sio hilo tu maneno mengi sana kashindwa kuyatamka ipasavyo kumbuka hiyo ni dr and he cannot overcome the mother tongue.Hapo bado kiinglish

Jambo la muhimu ni sabstance ya yale aliokuwa anasoma na sio pronounciation!! After all yeye ni Mnyalukolo first and foremost!!
 
Back
Top Bottom