TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

Amina Thomas

JF-Expert Member
Mar 9, 2008
272
129
Nimepokea taarifa ya kusikitisha.

Mzee wetu na mjomba wangu, Dr. William Mgimwa amefariki dunia asubuhi hii

william_mgimwa_tanzania_finance_minister-600x0.jpg
 
Pole sana! Kwa huzuni uliyo nayo naona umeshindwa kujibu maswali ya Wanajamvi. Naomba ujikaze kisabuni na utoe ufafanuzi.
 
Tuwe tayari kwa vile hajutui saa wala muda atakao kujamwana adamu kunyakuwa kilicho chake mungu awatie nguvu wafiwa mwenyezi mungu ampumzishe kwa amani.
 
Its true, Dr. William Mgimwa (Waziri wa Fedha) amefariki. Nimepata habari toka very reliable source.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom