harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Hivi majuzi waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi alikua anakagua baadhi ya
shule jijini dar na baadhi ya shule hizo alizifunga kwa madaii kwamba hazikidhi
viwango nyingine hazijasajiliwa na wengine kutumia mtaala wa Kongo DRC.
hI NDIO KAZI YA WAZIRI?
hAKUNA JOB DISCRIPTION?
hAWAJUI WANACHOKIFANYA?
NAWASILISHA...............
shule jijini dar na baadhi ya shule hizo alizifunga kwa madaii kwamba hazikidhi
viwango nyingine hazijasajiliwa na wengine kutumia mtaala wa Kongo DRC.
hI NDIO KAZI YA WAZIRI?
hAKUNA JOB DISCRIPTION?
hAWAJUI WANACHOKIFANYA?
NAWASILISHA...............