Waziri wa elimu kufanya kazi ya ukaguzi wa shule mitaani ni kwamba hamna wakaguzi?

harakat

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
2,888
1,347
Hivi majuzi waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi alikua anakagua baadhi ya
shule jijini dar na baadhi ya shule hizo alizifunga kwa madaii kwamba hazikidhi
viwango nyingine hazijasajiliwa na wengine kutumia mtaala wa Kongo DRC.

hI NDIO KAZI YA WAZIRI?
hAKUNA JOB DISCRIPTION?
hAWAJUI WANACHOKIFANYA?

NAWASILISHA...............
 
Hivi majuzi waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi alikua anakagua baadhi ya
shule jijini dar na baadhi ya shule hizo alizifunga kwa madaii kwamba hazikidhi
viwango nyingine hazijasajiliwa na wengine kutumia mtaala wa Kongo DRC.

hI NDIO KAZI YA WAZIRI?
hAKUNA JOB DISCRIPTION?
hAWAJUI WANACHOKIFANYA?

NAWASILISHA...............

Haswaa....waziri siyo mtendaji hizo ndizo kazi. Impact ya ukaguzi wake next time kila kitu kitarekebishwa kwenye hizo shule
 
Hivi majuzi waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi alikua anakagua baadhi ya
shule jijini dar na baadhi ya shule hizo alizifunga kwa madaii kwamba hazikidhi
viwango nyingine hazijasajiliwa na wengine kutumia mtaala wa Kongo DRC.

hI NDIO KAZI YA WAZIRI?
hAKUNA JOB DISCRIPTION?
hAWAJUI WANACHOKIFANYA?

NAWASILISHA...............

Nadhani hapa kuna tatizo. Mimi naona Waziri hatimizi wajibu wake. kama alikuta shule za namna hiyo nina maswali mawili ya kujiuliza 1) Je hua anapata taarifa ya ukaguzi wa shule? je kata hiyo zilipo hizo shule zina mratibu elimu kata? na anafanya nini? 2) Kama anapata na kama hapati taarifa za ukakuzi baada ya kungundua haya yote amechukua hatua gani? ushahidi gani pia atautaka kwa hawa watendaji wake wanaodanganya kila kukicha? mimi ninavyoona (mtaniwia radhi) huyu waziri nae ni taka taka tu kama ni nafaka ni makapi yanayofaa kutupwa kwani hata chakula cha mifugo hayafai
 
Nadhani hapa kuna tatizo. Mimi naona Waziri hatimizi wajibu wake. kama alikuta shule za namna hiyo nina maswali mawili ya kujiuliza 1) Je hua anapata taarifa ya ukaguzi wa shule? je kata hiyo zilipo hizo shule zina mratibu elimu kata? na anafanya nini? 2) Kama anapata na kama hapati taarifa za ukakuzi baada ya kungundua haya yote amechukua hatua gani? ushahidi gani pia atautaka kwa hawa watendaji wake wanaodanganya kila kukicha? mimi ninavyoona (mtaniwia radhi) huyu waziri nae ni taka taka tu kama ni nafaka ni makapi yanayofaa kutupwa kwani hata chakula cha mifugo hayafai

Hapa umetumia lugha kali sana ila ni kwa mauchungu uliyonayo tu nadhani yataisha baada ya muda
wazo langu ni kufanya utaratibu wizara ya elimu iwe na muongozo unaoeleweka hii ndio itakua
suluhisho la kudumu wakati mungai ameingia alifanya mabadiliko ambayo adhari zake zinaendelea
kuwepo mpaka sasa huyu anajitahidi hata kutembelea mashule
 
nadhani hapa kuna tatizo. Mimi naona waziri hatimizi wajibu wake. Kama alikuta shule za namna hiyo nina maswali mawili ya kujiuliza 1) je hua anapata taarifa ya ukaguzi wa shule? Je kata hiyo zilipo hizo shule zina mratibu elimu kata? Na anafanya nini? 2) kama anapata na kama hapati taarifa za ukakuzi baada ya kungundua haya yote amechukua hatua gani? Ushahidi gani pia atautaka kwa hawa watendaji wake wanaodanganya kila kukicha? Mimi ninavyoona (mtaniwia radhi) huyu waziri nae ni taka taka tu kama ni nafaka ni makapi yanayofaa kutupwa kwani hata chakula cha mifugo hayafai


waziri katimiza wajibu wake wana jf. Kazi ya waziri siyo ya kukaa mezani.lazima aende field kuona mambo on the ground.hii ni kwa sababu watendaji wengi wa kibongo wanaleta taarifa nzuri za mezani wakati hali halisi siyo hivyo. Next time utaona taarifa zinabadilika na zinakuwa za kweli.

Waziri piga kaziiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
waziri katimiza wajibu wake wana jf. Kazi ya waziri siyo ya kukaa mezani.lazima aende field kuona mambo on the ground.hii ni kwa sababu watendaji wengi wa kibongo wanaleta taarifa nzuri za mezani wakati hali halisi siyo hivyo. Next time utaona taarifa zinabadilika na zinakuwa za kweli.

Waziri piga kaziiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Then baada ya kuyaona aliyoyaona field alitakiwa aanze na Katibu Mkuu wa wizara na kufuatiwa na boss wa department (iliyo na bold font).

The Ministry consists of eight departments:


  • Office of the Chief Education Officer,
  • Basic Education,
  • Secondary Education,
  • Teacher Education,
  • Inspectors of Schools,
  • Policy and Planning,
  • Administration and Personnel,
  • Vocational Training.
  • Higher Education
Other Semi Autonomous Government institutions and Agencies under the Ministry include:

  • Tanzania Institute of Education (TIE),
  • The Institute of Adult Education (IAE),
  • The National Examinations Council of Tanzania (NECTA),
  • Tanzania Library Services Board (TLSB),
  • The Agency for Development Education Management (ADEM).
Source: Ministry of Education and Vocational Training:::::
 
Hapa umetumia lugha kali sana ila ni kwa mauchungu uliyonayo tu nadhani yataisha baada ya muda
wazo langu ni kufanya utaratibu wizara ya elimu iwe na muongozo unaoeleweka hii ndio itakua
suluhisho la kudumu wakati mungai ameingia alifanya mabadiliko ambayo adhari zake zinaendelea
kuwepo mpaka sasa huyu anajitahidi hata kutembelea mashule

Nikweli nilikuwa na machungu sana, wana jf mniwie radhi. lakini nilichokuwa nataka kusema hapa ni kuwa waziri anatakiwa atueleze amechukua hatua zipi baada ya kuyaona haya kwa watendaji wake. Isitoshe wakaguzi wa maeneo haya huenda ndo wanaoongoza kwa kuchukua DSA za kusafiria kuliko watu wengine na kumbe hawajawahi kufika hata zilipo hizi shule. Waziri fanya kazi tunasubiri mshindo wa tukio hili zaidi ya hapo usemi wangu utabaki ule ule - makapi!
 
Rais aliwaagiza kwenye semina elekezi kuwa wasikae tu maofisini bali watoke. Kwahiyo ame/anatimiza maagizo ya mkuu wake wa kazi.
 
Nikweli nilikuwa na machungu sana, wana jf mniwie radhi. lakini nilichokuwa nataka kusema hapa ni kuwa waziri anatakiwa atueleze amechukua hatua zipi baada ya kuyaona haya kwa watendaji wake. Isitoshe wakaguzi wa maeneo haya huenda ndo wanaoongoza kwa kuchukua DSA za kusafiria kuliko watu wengine na kumbe hawajawahi kufika hata zilipo hizi shule. Waziri fanya kazi tunasubiri mshindo wa tukio hili zaidi ya hapo usemi wangu utabaki ule ule - makapi!

Tatizo la nchi yetu ni kutokuwa na utaratibu unaoeleweka. Waziri anao wajibu wa kujiridhisha kwa kukagua maeneo yaliyo chini yake ili kuona kama kazi zinafanyika ama la!! Sasa tukirudi kwenye alichokipata, ni aibu kubwa sana na hili linajulikana muda mrefu kuwa kuna shule zinafuata mitaala ya nchi tofauti kabisa! Na kuna hata vyuo pia zinafuata mitaala tofauti, kitu ambacho kitatuathiri wote kama taifa.

Tunahitaji kuacha kuoneana aibu, na kusimamia sheria zetu ili kusonga mbele! tukiwa na mtaala unaofanana shule zote zenye level fulani, inakuwa hatujengi matabaka kwwenye jamii yetu! vyuo vyetu hivyo hivyo, mfano: unaweza kuta chuo cha ufundi kama ilivyokuwa MIST au DIT au kile cha Ausha huku kingine cha VETA wanafundishwa vitu vile vile na hakuna limits, tofauti ni cheti. Tuweke viwango kwenye elimu yetu kulinda maslahi ya nchi yetu.
 
Hivi majuzi waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi alikua anakagua baadhi ya
shule jijini dar na baadhi ya shule hizo alizifunga kwa madaii kwamba hazikidhi
viwango nyingine hazijasajiliwa na wengine kutumia mtaala wa Kongo DRC.

hI NDIO KAZI YA WAZIRI?
hAKUNA JOB DISCRIPTION?
hAWAJUI WANACHOKIFANYA?

NAWASILISHA...............

Mi ningependa aje na Dodoma kwa huo UKAGUZI,maana huku zipo nyingi. Nyingine wanafundishia MAPAGALENI na WALIMU UCHWARA wanao laghai WAZAZI KUWA SHULE ZAO ZIMESAJILIWA ingawa si kweli
 
Watu wa idara ya wakaguzi huwa wanasema eti hawana vitendea kazi kzifikia shule zote hasa za mikoani.
Jamani hata sinza! Hawajaiona au rushwa jamaa ametembeza? Anyway,tutawajua kwa matendo yao!
 
Back
Top Bottom