- Thread starter
- #101
tena bado anajinasibu kwa mbwembwe kuwa ni waziri wa afya wa SUKZ, walaka wenyewe umeandaliwa kwa jazbaaa.. hili ndio ombwe la uongozi
Ingelikuwa nchi za wenzetu waraka huu ulitosha kumfukuza kazi leo leo.
tena bado anajinasibu kwa mbwembwe kuwa ni waziri wa afya wa SUKZ, walaka wenyewe umeandaliwa kwa jazbaaa.. hili ndio ombwe la uongozi
Molemo,
Nimepitia hiyo makala Juma Duni, kawaeleza ukweli Chadema wala hakuna hata tusi moja, ngumu kumeza hiyo ndio faida ya vita vyenu mwisho wa siku wote mtaolewa na CCM.[/QUOT
Alah! Kumbe hata wewe unajua kwamba Cuf imeolewa na CCM! Kwahiyo unachosubiri ni kuona na vyama vingine vyote vinaolewa. Hongera kwa kuutambua ukweli hata kama Cuf wanapinga, angalau Ritz amethibitisha.
Molemo,
Nimepitia hiyo makala Juma Duni, kawaeleza ukweli Chadema wala hakuna hata tusi moja, ngumu kumeza hiyo ndio faida ya vita vyenu mwisho wa siku wote mtaolewa na CCM.[/QUOT
Alah! Kumbe hata wewe unajua kwamba Cuf imeolewa na CCM! Kwahiyo unachosubiri ni kuona na vyama vingine vyote vinaolewa. Hongera kwa kuutambua ukweli hata kama Cuf wanapinga, angalau Ritz amethibitisha.
Kwa hiyo na wewe umekubali maneno yangu na nyie Chadema wakati wowote mnaolewa na CCM.
Hivi nani anaweza kusimama na Juma Duni Hassan kwenye jukwaa na kupambanua mambo?
Alah! Kumbe na wewe unajua kwamba Cuf imeolewa na CCM na kwamba kilichobaki ni mwisho wa siku vyama vyote kuolewa! asante sana kwa kuthibitisha hilo japo Cuf wanapinga.Molemo,
Nimepitia hiyo makala Juma Duni, kawaeleza ukweli Chadema wala hakuna hata tusi moja, ngumu kumeza hiyo ndio faida ya vita vyenu mwisho wa siku wote mtaolewa na CCM.
Nimekubali maneno yako kuwa Cuf imeolewa na CCM na si kwamba Vyama vyote vitaolewa.Kwa hiyo na wewe umekubali maneno yangu na nyie Chadema wakati wowote mnaolewa na CCM.
Nimeisoma hiyo supu ya utumbo iliyochacha kutoka kwa Duni Haji.Mkuu unafikiri kuna dhambi ndogo na kubwa? Hivi sasa unamsikia Baregu akipiga miayo? acha wewe, unajua anavuna shilingi ngapi kwa siku? Subirini tu akimaliza kazi hiyo ya katiba atatangaza kurudi CCM.
Kwani wewe umeolewa na nape?Kwa hiyo na wewe umekubali maneno yangu na nyie Chadema wakati wowote mnaolewa na CCM.
Mkuu FJM,
I am shocked. Na huyu ni Waziri, jee itakuwaje kwa mvuta bangi wa mtaani akitoa makala yake? Jamii ya kina Lusinde inazidi kuwa pana. Na mbaya zaidi ni pale wanapokuwa ni viongozi wetu. So sad.
Kuolewa na fisadi ni kosa la jinai. Nape na mafisadi wengine ni kitu kimoja.Kwani wewe umeolewa na nape?
Mnatafuta mke mdogo?Kwa hiyo na wewe umekubali maneno yangu na nyie Chadema wakati wowote mnaolewa na CCM.
Mke Mkubwa CUF amesharithia mumewe (CCM) ioe tena?.........angalia isije ikaoa kidume. mume na Mke mkubwa wote mkashughulikiwa!
Akili nyepesi..........mnaongea huku mnajichanganya changanya tu! Hopeless
Subirini 2015, tutawahoto: