zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
TBC LIVE now.
Mtangazaji-Mh Waziri nini cha kujivunia katika wizara yako ndani ya Miaka 50 ya uhuru?
WAZIRI-MH mtangazaji mmh mmh..,shirika la ndege lilikuwa chini ya africa mashart......
Aibu tupu.
Mtangazaji-Mh Waziri nini cha kujivunia katika wizara yako ndani ya Miaka 50 ya uhuru?
WAZIRI-MH mtangazaji mmh mmh..,shirika la ndege lilikuwa chini ya africa mashart......
Aibu tupu.