Waziri wa ajira Kairuki atengua kauli ya waziri mkuu kuhusu kukamilika zoezi la uhakiki watumishi

nkanga chief

JF-Expert Member
May 31, 2016
2,084
1,620
Ikumbukwe juzi Waziri Mkuu alitoa taarifa kuwa zoezi la uhakiki limekamilika nchi nzima na serikali sasa itaanza kuajiri na kupandisha vyeo watumishi wa umma. Cha kushangaza leo Jumamosi Waziri wa ajira na kazi amesema, zoezi la uhakiki bado linaendelea kwa watumishi hewa.

Hapa kazi tu
 
Serikali bora ikili tu kwamba mambo yamewaendea mrama hivyo hakuna ajira. Hawa sio wa kwanza kuwa na kauli zenye kujichanganya kwenye hii serikali.
 
Nipe tofali analeta jiwe, weee mshenzi nimesema nipe cement analeta kokoto!

Wee mbuzi pori nimesema nipe maji weee unaleta mchanga! Pumbavu Kweli hili nalo hivi Kweli Engo ndio futi!!

Hahahahahhaha imagine shida atakayoipata fundi mkuu! Yaani kama ujenzi wa Mnara wa Babeli
 
IKUBUKWE JUZI WAZIRI MKUU ALITOA TAARIFA KUWA ZOEZI LA UHAKIKI LIMEKAMILIKA NCHI NZIMA NA SERIKALI SASA ITAANZA KUAJIRI NA KUPANDISHA VYEO WATUMISHI WA UMMA CHAKUSHANGAZA LEO JUMAMOSI WAZIRI WA AJIRA NA KAZI AMESEMA ZOEZI LA UHAKIKI BADO LINAENDELEA KWA WATUMISHI HEWA

HAPA KAZI TU
Duu mtu had anapata ajra ,du kwel kaz
 
alichosema kairuki ni kwamba taasisi zote zinatakiwa kukamilisha zoez la uhakiki, na katoa dead line ni trh26/8. hili mambo mengine yaendelee kama kawaidi. na taasisi ambazo haztakamilisha zoez hlo taarifa itapelekwa kwa rais ili wachukuliwe hatua.
 
Kairuki siyo waziri wa kazi na ajira bali ni waziri wa utawala bora na utumishi wa umma waziri wa kazi na ajira ni mhagama mtoa post acha kukurupuka...
 
Chek hapa
 

Attachments

  • 1471717259487.jpg
    1471717259487.jpg
    33.7 KB · Views: 138
  • 1471717267352.jpg
    1471717267352.jpg
    45.1 KB · Views: 98
  • 1471717273961.jpg
    1471717273961.jpg
    44.9 KB · Views: 98
Chek hapa
Kama waziri mkuu amenukuliwa kwamba zoezi la uhakiki limeisha ni nani aliyempa taarifa? kwa maana nyingine Mh.Waziri
Kairuki ndiye anayepaswa kumpa taarifa hizo. Waziri mkuu alikurupuka? na kama alipewa taarifa kuwa zoezi limeisha wakati kuna idara na taasisi za serikali ambazo hazijakabidhi uhakiki ni nani aliyemuongopea? na kwanini waziri anamuumbua bosi wake.Bora angekaa kimya kuliko taarifa ambazo zinamuumbua bosi wake.Inaonekana kuna tatizo la mawasiliano kati ya viongozi wa serikali.Lengine baya kuliko lote ni lile la ushindani wa kutaka kuonekana mbele ya vyombo vya habari.Viongozi wengi wa sasa wanaamini ili kumshawishi Rais na wananchi ni lazima uonekane unatoa tamko.Mwisho wa siku utakuta wanaingiliana katika wajibu wao.
 
Back
Top Bottom