Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
waziri wa afya wa Kenya Bi Mugo amesema atamshinikiza waziri wa afya wa Tanzania ili babu akamatwe. Sababu aliyoitoa ni kuwa babu ni mganga wa kienyeji na anadanganya watu kuwa anatibu. Ushauri huo atampatia watakapo kutana kwenye mkutano nchini Rwanda.
Sasa nimejiuliza,pilipili iliyo shambani inamuwashia nini?? Kama hataki Wakenya watibiwe si wafunge mpaka?
Source. NTV
Sasa nimejiuliza,pilipili iliyo shambani inamuwashia nini?? Kama hataki Wakenya watibiwe si wafunge mpaka?
Source. NTV