Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
leo ni siku ya kwanza ya chanjo ya kitaifa ya surua,watumishi wa afya hasa wauguzi jana walipewa semina elekezi ya siku moja. Malipo ya semina hiyo hapa Mwanza waliambiwa ni sh.15,000 tu! Nayo hawakupewa kisa eti hela haijatumwa kutoka wizarani hivyo maskini wauguzi hao waliikopesha serikari sijuhi watalipwa lini?alafu kiwango hiki cha hela ni posho,takrima,nauli au nini?maana hakipandi ni miaka 4 sasa wanalipwa hivi,hivi muuguzi hawezi kupanda hata tax, 15,000 kwa siku inaweza kumkimu mtu kwa kitu gani? Pamoja ugumu wa shughuli yenyewe, maana itajumuisha pia kutoa sindano kituo kimoja amepangwa muuguzi mmoja tu!ndio maana wauguzi wanajeruhiwa na sindano kwasababu ya over working! na mwisho malipo ni sh. .10000 tu kwa siku! Hebu jaribu kuwalipa wabunge msimbazi moja tu kwa siku muone kama hapatachimbika. Na kwanini muanzishe kampeni hii kama hakuna pesa za kutosha?usalama wa afya watoto wetu ukoje kwa hawa manesi walioikopesha serikali posho zao ambazo hata nauli haitoshi?