BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Tuko muhimbili ndugu zanguni
muda si mrefu mh waziir mkuu ameoka kuongea na ma dk kuhusu matayarisho ya mgomo ujao hapo jumatano..katika kmoja ya mambo aliongea amesema anaomba wampe muda tumeongea na wahusika
na naamini wanajua wajibu wao na madhara yaliotokea na yatakaotokea kuanzi jumatano
so naomba ndugu zangu muwe na subira tusubiri kesho tutapata jibu kamili
wakati huo inasemekena mama yetu nkya ameanza kukusanya vifaa vyake vyote ofisini kwa kujiandaa kuanza maisha mapya kama raia wakawaida kw habari zaidi tusubiri kesho
muda si mrefu mh waziir mkuu ameoka kuongea na ma dk kuhusu matayarisho ya mgomo ujao hapo jumatano..katika kmoja ya mambo aliongea amesema anaomba wampe muda tumeongea na wahusika
na naamini wanajua wajibu wao na madhara yaliotokea na yatakaotokea kuanzi jumatano
so naomba ndugu zangu muwe na subira tusubiri kesho tutapata jibu kamili
wakati huo inasemekena mama yetu nkya ameanza kukusanya vifaa vyake vyote ofisini kwa kujiandaa kuanza maisha mapya kama raia wakawaida kw habari zaidi tusubiri kesho