Waziri Tizeba aamua kuondoka hotelini baada ya bili ya 100milioni

Haya ni matokeo ya maamuzi mabovu yaliyofanywa na Magufuli wakati wa utawala wa Mkapa.
 
njaa mbaya kweli kabla hajawa waziri alikua anaishi ubungo kwenye nyumba yake, inamaana nyumba yake aliyoijenga mwenyewe naamini haikua na hadhi ya yeye kuishi kisa kapata uwaziri ?

Nimeipenda kweli hii. Apo saaafiiiii, wakiwa ishirini hotelin itakuwa safi kweli. Tulianza na yule mzanzibari sasa saafiiii. ILANI ya chama chetu inatekelezwa. Kimsingi, mafisadi hawaangalii shule ngapi zinaweza kujengwa au madawati mangapi yanaweza kununuliwa kwa hiyo hela wenyewe wanaangalia KUPIGA kwaajili yao tu. Uzalendo hamna hata kidogo; nafsi ya mtu haiumi! hata kushituka tu hamna! mil. 100 msosi na pakulal tu. We have a long river to cross before we reach the promised land.
 
Wakubwa zetu hawana tofauti na fisi tena mwenye roho mbaya. Fisi ni mroho lakini akishiba hana ubaya na mtu. Hawa mafisi wetu ni waroho na wana roho mbaya. Huoni bosi wao anavyokesha kiguu na njia wakati waliomchagua wanakufa kwa kukosa asprin. Wetu si viongozi bali matapeli wa kawaida wanaopaswa kutupiwa mawe kila wapitapo.

Mimi nafikiri mnamuonea bure Tizebwa, hajapewa nyumba, alikuwa hakai Dar. Sasa afanyeje? Tulalamikie Serkali ambayo iliuza nyumba kana kwamba Serkali nayo inastaafu lakini si kwa mtu anayestahili kupewa nyumba na hajapewa.
 
Mimi nafikiri mnamuonea bure Tizebwa, hajapewa nyumba, alikuwa hakai Dar. Sasa afanyeje? Tulalamikie Serkali ambayo iliuza nyumba kana kwamba Serkali nayo inastaafu lakini si kwa mtu anayestahili kupewa nyumba na hajapewa.
Hakuna utetezi wa kuwabeba wauaji hawa!... Hii fedha ingesaidia watanzania wengi wanaokosa huduma za afya na elimu!... Nyumba zenye hadhi klwa bei nzuri zipo DAR!... laki 3 mpaka 4 mikocheni, masaki, makongo juu, upanga mpaka changanyikeni!!!
 
Mimi nafikiri mnamuonea bure Tizebwa, hajapewa nyumba, alikuwa hakai Dar. Sasa afanyeje? Tulalamikie Serkali ambayo iliuza nyumba kana kwamba Serkali nayo inastaafu lakini si kwa mtu anayestahili kupewa nyumba na hajapewa.
Hakuna utetezi wa kuwabeba wauaji hawa!... Hii fedha ingesaidia watanzania wengi wanaokosa huduma za afya na elimu!... Nyumba zenye hadhi klwa bei nzuri zipo DAR!... laki 3 mpaka 4 mikocheni, masaki, makongo juu, upanga mpaka changanyikeni!!!
 
kuna wakubwa wake waliotoa kibali cha yeye kuishi pale ndio wanapaswa kuulizwa


Amkeni ndugu zangu acheni kutetea wezi!... Huyu ni mwizi wa fedha za umma. Tunatakiwa tupige kelele ili muidhinishaji na anayekubali kuishi hotelini wajue wanajiweka hatarini!...
 
Kuuliza angeishi wapi sio hoja ya msingi. Mbona baada ya issue kulipuliwa gazetini na kujadiliwa kwenye media kama hii sasa kaondoka hoteli? Anaenda kuishi wapi?

Suala lisingetolewa gazetini angekaa hotelini hata miaka miwili.
 
kuna wakubwa wake waliotoa kibali cha yeye kuishi pale ndio wanapaswa kuulizwa

Yeye pia mtu mkubwa na ana akili za kujua kwamba anaukamua umma wa watanzania. Yeye pamoja na wao, akiwamo waziri, wanahusika kikamilifu na unyonyaji huu.
 
Hii haikubaliki, inakuwaje waziri aishi hotelini na kutumia kiasi kikubwa cha pesa za walipa kodi? kwani utaratibu wa kupatiwa nyumba ya kupanga ulipaswa kufanywa na nani jamani ?


Unajua silaha yetu watanzania kwa sasa ni kuwavamia katika hoteli wanazoishi kwa maandamano makubwa na kuwapiga mawe viongozi wa namna hii. Tabia hii itakoma tu!... NI UJINGA KUBEBA JIWE KUBWA, PETROLI na KIBERITI na kumvamia kibaka aliyepora simu au waleti ya mtu wakati ujinga huu tunauvumilia!....
 
Nataka nimsakame tizeba nakumbuka kuna watu wazima na busara kabisa walikaa wakaamua nyumba za serikali wauziane kwa bei chee...proceeds za mauzo ayo cjui zilikwenda wapi matokeo yake ndo ayo tizeba na wenzake wanakamua tena kodi zetu kwa kiasi iki!!!Kuna vitu vinatia hasira nchi hii 100m can do lots of thngs
 
Waziri Dr. Charles Tizeba makamu wa Mwakyembe ambaye amekuwa akiishi katika hoteli ya nyota 4 ya New Africa aondoka baada ya bili kufikia milioni 100.

Hiyo ni bili ya malazi na mlo wa asubuhi tuu achana na buffet na vinywaji!

Jamani huyu waziri ni mzalendo kweli wa kuishi hotelini hadi kufikia kiasi hicho cha pesa? Sina hamu jamani sijui wadau mnalipi la kusema.

Source ni The Guardian on Sunday habari na Floriani Kaijage!

hivi new africa ina hisa na serikali?coz ha ta naodha alikuwa anaishi hapo
 
kama ameondoka mwenyewe bila kufukuzwa basi ni mzalendo!serikali ndio walimuweka akae hapo because nyumba za viongozi wa serikali waliuziana!!waziri mzima hawezi kwenda kulala sinza!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

kwani sinza kuna tatizo gani? Mbona naibu waziri mkuu mstaafu bwana mrema anaishi sinza vatcan bila wasiwasi?
 
Kama mnadhan kavunja sheria nendeni mkamshtaki,ukweli ni kwamba ni stahili ake kuishi pale tatizo naloliona hapo ni kwann serikali iliuza nyumba zake na kwann haijawa na mkakati wa kujenga za kutosha.

Ashitakiwe kwenye mahakama zipi?!!!!... SUBIRI SIKU zinakuja tu ujinga huu ukiendelea WATANZANIA TUTAAMKA NA KUWAHAMISHA KWA MAWE!... Wewe unayetetea ujinga huu pengine hujui kodi inayokatwa kwenye mishahara ya watu kuendeshea serikali!... Huumii kwakuwa hutoi au hulipi kodi hii!.... NI UNYAMA KWA MTU YEYOTE KUISHI HOTELINI AKITUMBUA PESA ZA UMMA HUKU WATU WAKIISHI KWA TAABU NA KUKOSA HUDUMA ZA AFYA NA ELIMU!...
 
huko hotelin alikua anaka na familia yake?? na kama na familia yake kwann akae nao huko?? na kama alikua anakaa mwenyewe kwann aliitelekeza familia yake??
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom