Ni kichangia hoja hii lazima nitakamatwa so.... am cryiiiing.
Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh.Sophia Simba amejikuta kwny wakati mgumu pale alipowalaumu vikali CHADEMA kwa kuendesha maandamano kanda ya ziwa na kusema kua huko ni kuiga Misri na Libya!! Mama huyo badala ya kuzungumzia kilichompeleka studio kuzungumzia Siku ya wanawake duniani yeye akaanza na kusema wanawake wasiende kwny maandamano ya CDM maana wao wana kazi nyingi za kufanya kuliko wanaume ambao hawana kazi ndio maana wanaenda kwny maandamano hayo!!! Ulipofika muda wa watazamaji kuchangia ndipo huyo mama alipoanza kushambuliwa na kila mchangiaji kwamba afute kauli zake za kwamba "wanaume hawana kazi ndio maana wengi wanaenda kwny maandamano hayo" na "kufananisha maandamano ya CHADEMA na yale ya nchini Misri au Libya" Ninachojiuliza hapa wana JF wenzangu hivi hawa viongozi wetu kwann wanakua mambumbumbu kiasi hiki na ufinyu wa uelewa? Kuhusisha maandamano ya CDM na yale ya Misri au Libya huu si ndio uchochezi wenyewe!!! Halafu napenda kuuliza wana JF wenzangu nini maana ya JINSIA?! Nawakilishaa.
Hivi ccm haina msemaji mbona kila mtu akipewa nafasi anaropoka tu, kweli wemechanganyikiwa!!!
sishangai Sophia kusema hili kwani alishawai kuwataka wanawake wawanyime unyumba waume zao kama watawaunga mkono wapinzani so sofia amaamin kwa nguvu ya ngono anaweza kumwendesha na kupata chochote kutoka kwa mwanaume.
Akili yake inawaza ngono tu na labda JK kampa hiyo WIZARA kama offa au aweke draft ya ngono kuzima harakati za ukombozi.
Ni wanawake wajinga tu kama yeye watakaomuelewa.
My take:WANAWAKE TUNATESEKA ZAIDI YA WANAUME NA HUU UGUMU WA MAISHA sasa sexy slave sofia anamaanisha nini?
Kazi hipo kweli kweli,ama keli si bule tumelogwa ?!!
Kuhusu hapo kwenye red ngoja nikupige shule kidogo.
JINSI(SEX) -
JINSIA (GENDER) -
Post murua kwa leo... nimeipenda.du kumbe Sophia Simba bado ni waziri?
hivi hii picha ilitoka gazetini? Wapi nitapata nakala??