Mungu wangu JK hawezi hata kutofautisha kati ya $ 300,000 na two hundred thousand as it appears kwenye cheque
Mungu wangu JK hawezi hata kutofautisha kati ya $ 300,000 na two hundred thousand as it appears kwenye cheque
Unajua kwa nini mawaziri wengi wa JK ni vituko? Hawateuliwi kwa uwezo wao wa kazi isipokuwa wanajipendekeza vipi kwa RA, wanachangia vipi fenda ktk kampeni za JK, ni maswahiba kiasi gani na wakuu wa Mtandao nk. Unakumbuka lile baraza la mawaziri sitini? Wizara ya Usalama wa Raia v. Mambo ya ndani? Basi inasemekana JK alipofika madarakani alidhani RA na EL watamwachia ajitawale akiwapa nafasi lakini haikuwa hivyo. Kwanza RA akasema hataki uwaziri ila akaleta majina ya watu wake kama kumi hivi, Mzee wa Monduli kama umjuavyo akaleta wake kama 33 hivi, bila kusahau wazee wa siasa kama kina King Gunge wa Ngombare asingeweza kuwatupa. Yeye mwenyewe JK akawa na watu wake. Pia usisahau mtazamo wa CC emu kuhusu uwakilishi kimikoa katika Baraza la Mawaziri. Hivyo kufikia mwisho unaajikuta una watu kama mia hivi? Huwezi kuamini kirahisi lakini hao sitini (60) walikuwa ndo kiwango cha chini zaidi kilichowezekana kwa wakati huo maana bado kuna wapambe wengi ambao bado hawakupata nafasi
Kwa hiyo usishangae kumkuta Mama yangu Simba siku zote kuwa mropokaji. Inawezekana yupo hapo kwa sababu alienda kwa RA kuomba uwaziri na RA akampa kimemo ampelekee JK "Apewe nafasi anayopenda. Ni mtu wetu wa karibu!" Kisha JK akainua simu kuripoti kwa bosi wake RA "Tayari Mkuu"
Hujaipata hiyo? Inasemekana tangu wanamtandao waanze kutafuta madaraka (miaka kama 18 hivi imepita) hakuna siku waliwahi kujadili watatatua vipi tatizo lolote kubwa (umeme, maji, barabara, kilimo duni nk.) hapa nchini. Mazungumzo yao mengi ilikuwa wapi watapata fedha na vipi watamwondoa nani katika mlinganyo nk. Inasemekana hata zile kashfa za Sumayi kuwa fisadi na pesa nyingi (Inawezekana ni kweli. Sipingani na hilo maana CCM sijui utamwamini nani wote hayohayo) ziliwekwa wazi ili Mkapa (fisadi mwingine lakini aliyemudu makashkashi) asipate nafasi ya kumwachia urais.
sishangai Sophia kusema hili kwani alishawai kuwataka wanawake wawanyime unyumba waume zao kama watawaunga mkono wapinzani so sofia amaamin kwa nguvu ya ngono anaweza kumwendesha na kupata chochote kutoka kwa mwanaume.
Akili yake inawaza ngono tu na labda JK kampa hiyo WIZARA kama offa au aweke draft ya ngono kuzima harakati za ukombozi.
Ni wanawake wajinga tu kama yeye watakaomuelewa.
My take:WANAWAKE TUNATESEKA ZAIDI YA WANAUME NA HUU UGUMU WA MAISHA sasa sexy slave sofia anamaanisha nini?
Nadhani wametuma serikali nzima kuipiga vita CDM maana hata jana nilimwona Wassira nae anajiumauma TBC kuhusu CDM. Ukweli wanapigana na ukuta hawataweza.
Hata sijui huwa tunatumia Criteria zipi kuwapa watu nafasi za juu. Huwa najiuliza wanazungumza nini kwenye mikutano ya kimataifa maana kwengine hizi nafasi hazishikwi na wapuuzi kama huyu mama kabisa, yaani hata kazi ya ushauri katika wizara yake aliyopo hapati.Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh.Sophia Simba amejikuta kwny wakati mgumu pale alipowalaumu vikali CHADEMA kwa kuendesha maandamano kanda ya ziwa na kusema kua huko ni kuiga Misri na Libya!! Mama huyo badala ya kuzungumzia kilichompeleka studio kuzungumzia Siku ya wanawake duniani yeye akaanza na kusema wanawake wasiende kwny maandamano ya CDM maana wao wana kazi nyingi za kufanya kuliko wanaume ambao hawana kazi ndio maana wanaenda kwny maandamano hayo!!! Ulipofika muda wa watazamaji kuchangia ndipo huyo mama alipoanza kushambuliwa na kila mchangiaji kwamba afute kauli zake za kwamba "wanaume hawana kazi ndio maana wengi wanaenda kwny maandamano hayo" na "kufananisha maandamano ya CHADEMA na yale ya nchini Misri au Libya" Ninachojiuliza hapa wana JF wenzangu hivi hawa viongozi wetu kwann wanakua mambumbumbu kiasi hiki na ufinyu wa uelewa? Kuhusisha maandamano ya CDM na yale ya Misri au Libya huu si ndio uchochezi wenyewe!!! Halafu napenda kuuliza wana JF wenzangu nini maana ya JINSIA?! Nawakilishaa.
huyu mheshimiwa vipi????????????hawezi kusoma au vipi, yeye anaweka tuu bila kusoma sasa ni mangapi amefanya bila kuchunguza????????? Tanzania isisile!!!
Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh.Sophia Simba amejikuta kwny wakati mgumu pale alipowalaumu vikali CHADEMA kwa kuendesha maandamano kanda ya ziwa na kusema kua huko ni kuiga Misri na Libya!! Mama huyo badala ya kuzungumzia kilichompeleka studio kuzungumzia Siku ya wanawake duniani yeye akaanza na kusema wanawake wasiende kwny maandamano ya CDM maana wao wana kazi nyingi za kufanya kuliko wanaume ambao hawana kazi ndio maana wanaenda kwny maandamano hayo!!! Ulipofika muda wa watazamaji kuchangia ndipo huyo mama alipoanza kushambuliwa na kila mchangiaji kwamba afute kauli zake za kwamba "wanaume hawana kazi ndio maana wengi wanaenda kwny maandamano hayo" na "kufananisha maandamano ya CHADEMA na yale ya nchini Misri au Libya" Ninachojiuliza hapa wana JF wenzangu hivi hawa viongozi wetu kwann wanakua mambumbumbu kiasi hiki na ufinyu wa uelewa? Kuhusisha maandamano ya CDM na yale ya Misri au Libya huu si ndio uchochezi wenyewe!!! Halafu napenda kuuliza wana JF wenzangu nini maana ya JINSIA?! Nawakilishaa.