Zao la Kata
New Member
- Apr 8, 2011
- 3
- 0
Leo Waziri Sita amepata kibano cha kutosha kutoka kwa Waziri wa Sheria wa Zanzibar. Mzanzibar huyo amemwambia Mh.Sitta kwamba ni mungo kutokana na kauli ya kusema kwamba Zanzibar imeshirikishwa vya kutosha katika kuandaa Mswada wa Katiba mpya. Swali linakuwa ni je, Sitta alikuwa hajui ukweli huo au aliamua tu?. Au ndiyo CCM wanambebesha zigo hilo ambalo lina chembe chafu za uongo ambazo Mh. Sitta kama asipokuwa makini zitamchafua Kisiasa?. Ndugu yangu Sitta, usiwaamini hao CCM, siyo wenzako. Wamekupeleka Zanzibar ili ukachafuke. Ila nachokusifu ni kwamba wewe ni mkweli. Umetufafanulia ni kwa nini HATI YA DHARURA imetumika. Hiyo nafasi ulivyoitumia kama angepewa TAMBWE HIZA, nakuhakikishia Wazanzibar wangemfanya UROJO.