vicenttemu
Member
- Nov 16, 2010
- 43
- 0
Katiba ina garama gani ambayo sirikali imeshndwa?? Ajipange atafute la kuzungumza na Watz, sio hewa tena, hata sisi tuna uwezo wa kuchanganua mambo. Hatukubali kuburuzwa tena. Katiba mpya ni muhimu. Watanzania waitake ninyi muikate!