Waziri Nundu umeonesha umakini japo umeingizwa choo cha kike.

Kipilipili

JF-Expert Member
May 25, 2010
2,272
1,878
Mh.omar nundu ameonesha umakini na kutumia taaluma yake kwa kumuomba waziri mkuu nyongeza ya pesa ili kuongeza bajeti ya wizara yake.tatizo ni kuwa wizara aliyopewa ni bomu na litamlipukia asipokua makini kama ngeleja lilivyomlipukia.kwa kifupi,ameingizwa choo cha kike.wizara imejaa wizi na ufisadi na migogoro mf.UDA,TRL,ATCL.nundu anageuzwa kama mbuzi wa kafara!nakushauri ujiuzulu kabla hujachafuka kaka.
 
Mh.omar nundu ameonesha umakini na kutumia taaluma yake kwa kumuomba waziri mkuu nyongeza ya pesa ili kuongeza bajeti ya wizara yake.tatizo ni kuwa wizara aliyopewa ni bomu na litamlipukia asipokua makini kama ngeleja lilivyomlipukia.kwa kifupi,ameingizwa choo cha kike.wizara imejaa wizi na ufisadi na migogoro mf.UDA,TRL,ATCL.nundu anageuzwa kama mbuzi wa kafara!nakushauri ujiuzulu kabla hujachafuka kaka.


Ana taaluma gani??? hizo hela zilizoongezwa ni kiini macho tu. zitabaki kwenye maandishi tu.
 
Ana taaluma gani??? hizo hela zilizoongezwa ni kiini macho tu. zitabaki kwenye maandishi tu.

Yaani ofisi za serikali ilivyokuwa vigumu kuhamisha hela kutoka kifungu kimoja chenye neema kwenda kifungu kingine kilichoishiwa cha wizara moja, sijui wanategemea watazihamishaje kutoka wizara moja kwenda wizara nyingine! Magufuli hatoi hata shilingi mia!
 
Well, first let me through, hivi ni uhakika nafasi za serkalini wanaoajiriwa ni failures, mabolibo?
 
Well, first let me through, hivi ni uhakika nafasi za serkalini wanaoajiriwa ni failures, mabolibo?
Watu wengi hudhani watumishi wote wa serikali ni mazuzu na wachumia tumbo. ukweli ni kwamba wengi ni wataalamu wa ukweli na wazalendo. Lakini nchii hii ni ngumu kwani watanzania wengi kwa ujumla ni wezi na wazembe. Hivyo hatapale ambapo serikali hufanya mipango mizuri kwa nia njema, watanzania hutafuta kila njia kuuiliza serikali na hivyo mipango kufeli. Mifano michache ni kama pembejeo za ruzuku kupitia kilimo kwanza na mpango wa ujenzi wa shule. hii hutekelezwa katika lower levels lakini
 
Nilivyoangalia jana Bunge......
Kuna picha kubwa ya "funika kombe"
Lililochochewa na biti walilopigwa wabunge wa chama tawala....
Mahitaji ya uchukuzi katika taifa lolote na kilichofanyika au hata kuahidiwa kufanyika tu,
Yote hiyo inatoa picha sisi ni taifa la namna gani na tunatazama vipi dhana ya MAENDELEO ENDELEVU.
Tusijipe moyo, hamna kitu hapa ukiringanisha na wenzetu wanaoendelea na wanaojenga mataifa yao
 
Back
Top Bottom