commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
wana JF,waziri wa uchukuzi, Mh omar nundu anaongea sasa hivi ndani ya independent television (ITV) wadau mnaweza angalia na kumsikiliza,ili mwisho tuweke maoni yetu kutokana na mahojiano hayo.
Mimi naendelea kuanalia na kumsikiliza.....baadae tuchangie kama great thinkers!
Mimi naendelea kuanalia na kumsikiliza.....baadae tuchangie kama great thinkers!