leo asubuhi hii (morning magic-magicfm) waziri wa michezo nchimbi kapigiwa simu, kaulizwa inakuwaje
juzi uwanjani neti(nyavu) ilikatika ikabidi ifungwe katani(ilichukua zaidi ya dk 5 kufunga katani) na fainali yake jana
umeme umekatika, tunaomba maelezo yako!! Aaagh jamaa akakata simu!!
Hii aibu sijui nani atai-handle!!
tuliambiwa kuongozwa na ccm kwa kipindi kingine ni janga la kitaifa hii ni trailler picha yenyewe inakuja