Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Nimeangalia video clip iliyorushwa na Star TV leo asubuhi, inayoelezea yaliyojiri bungeni jana baada ya Hamad Rashid kuomba muongozo na kujibiwa majibu ya kifedhuli na Spika wa Bunge ( Namfananisha na Bi-Mkora wa katuni za gazeti la mwananchi). Mara baada ya wabunge wa vyama pinzani kutoka bungeni, nimemuelewa kifasaha ndugu Nchimbi baada ya kutoa kauli yake ....... Kumbe spika alikuwa na taarifa mapema kabisa!