Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
Katika taarifa saa mbili usiku TBC, waziri Nchimbi anasema si haki kusema makanisa yaliporwa na waislamu, ila ni wahuni tu.
Je kama hivyo ndivyo ilivyo je kuna haja gani ya kuzuia mihadhara ya kidini kwa mwezi mmoja, je si kuwanyima haki wanadini iwapo wanaoleta vurugu si vikundi vya dini?
Je huu si ukanganyaji wa ukweli toka ngazi za juu.?
Je kama hivyo ndivyo ilivyo je kuna haja gani ya kuzuia mihadhara ya kidini kwa mwezi mmoja, je si kuwanyima haki wanadini iwapo wanaoleta vurugu si vikundi vya dini?
Je huu si ukanganyaji wa ukweli toka ngazi za juu.?