Amani Nyekele
Senior Member
- Jul 8, 2011
- 159
- 26
DR. Nchimbi amekwisha kanusha habari hii na ameyataka magazeti ya TZ Daima, mwananchi na majira yakanushe habari hii front page na wa-apologize!!
Kitendo cha Waziri wa utamaduni na miche bwana John Nchimbi kuiba kura na kutangaza matokeo ya uongo wakati wa uchaguzi wa meya katika jimbo Songea ni kitendo cha kujipotezea heshma ndogo aliyokuwa nayo kukifanya Chama Cha Magamba kizidi kuwa cheusi!
Kitendo cha Waziri wa utamaduni na miche bwana John Nchimbi kuiba kura na kutangaza matokeo ya uongo wakati wa uchaguzi wa meya katika jimbo Songea ni kitendo cha kujipotezea heshma ndogo aliyokuwa nayo kukifanya Chama Cha Magamba kizidi kuwa cheusi!
Jamaa alipanic akajikuta amefanya jambo la aibu waziwazi.Naamini sasa atakuwa anajuta na amenifanya niingie mstuni kutafuta data zake za ofisi yake ya wizara in detail ili nijue kama aliteleza tu kwenye tukio hili au ndo namna anavyofanya maamuzi hata katika ofisi ya wizara.Kitendo cha Waziri wa utamaduni na miche bwana John Nchimbi kuiba kura na kutangaza matokeo ya uongo wakati wa uchaguzi wa meya katika jimbo Songea ni kitendo cha kujipotezea heshma ndogo aliyokuwa nayo kukifanya Chama Cha Magamba kizidi kuwa cheusi!
Tusimuhukumu tungoje ushahidi uje, halafu ndio tujadili hili suala
Jamaa alipanic akajikuta amefanya jambo la aibu waziwazi.Naamini sasa atakuwa anajuta na amenifanya niingie mstuni kutafuta data zake za ofisi yake ya wizara in detail ili nijue kama aliteleza tu kwenye tukio hili au ndo namna anavyofanya maamuzi hata katika ofisi ya wizara.
Anataka magazeti yamwonyeshe alivyo jitwisha box la kura kichwani
Kweli kama ndio mambo anayoyafanya atatuangusha sana Watanzania.