ccm wote ni wapuuzi
katika mbinu za kuwarubuni kina mama wa meru waziri wa uwekezaji amewaagiza kina mama waandike majina ili wapatiwe misaada.
Mytake:
Hivi nyie magamba mtaendelea kuwarubuni wananchi mpaka lini?na kwanini wakati wa uchaguzi tu?
Daraja la Magufuli kule Igunga sijui Kama lipo tayari, CCM kweli ni wapuuzi
Hii ni kinyume kabisa na sheria za uchaguzi. Ni rushwa. Wanasheria wa CHADEMA wachukusanye details.
Huyu mama akiwa kwenye mkutano tengeru aliwaadi wananchi kuwa watajenga maeneo huru ya uwekezaji ambayo yatatoa ajira kwa vijana lakini akasema hilo litawezekana tu kama watamchagua sioi.
Hii ni Comedy
Mkuu kina mama wanapigana vikumbo kuandika hayo majina ili wapewe hiyo misaada inasemaka wameahidiwa 3mil kwa kila kikundi japo kuna wengine wameanza kushtukia kuwa hili ni changa ili wawape kura then wanawatupa kule
Kule jimboni kwake amejenga nini? Kuna uwekezaji gani jimboni kwa Mary Nagu? Nitarudia tena, huyu mama ameshindwa kuwatetea vijana wanaolima vitungu wanadhulimiwa na wanunuzi toka Kenya lakini yeye yuko busy anaandika list ya porojo!
Mkuu kina mama wanapigana vikumbo kuandika hayo majina ili wapewe hiyo misaada inasemaka wameahidiwa 3mil kwa kila kikundi japo kuna wengine wameanza kushtukia kuwa hili ni changa ili wawape kura then wanawatupa kule
Huyu mama akiwa kwenye mkutano tengeru aliwaadi wananchi kuwa watajenga maeneo huru ya uwekezaji ambayo yatatoa ajira kwa vijana lakini akasema hilo litawezekana tu kama watamchagua sioi.
Hii ni Comedy