Waziri Mwijage: Kwa sasa Tanzania ina zaidi ya viwanda 52, 000

Dah kwa viwanda elfu 52 nadhani hata ujerumani nchi iliyoendelea zaidi ulaya kiviwanda haitufikii,
Uwongo mwingine bwana wala huhitaji PhD kung'amua
Tatizo la watanzania mnataka likiwanda likuuuubwa kama la Urafiki. Kumbe hata ile mashine ya kusaga unga ni kiwanda. Na Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya viwanda na ghafla tu viko 52,000
 
Aisee kuongoza watanzania ni kitu rahisi mno, huyu waziri kihiyo wakati anasema uongo hapo hakuna hata muandishi wa habari aliyemuuliza maswali na wala hawakuhoji. Tanzania inaongozwa na wenye Phd za uongo na wala hawana hata aibu wanapodandanya kwenye matv
 
Juzi tu katoka tukana wenye malori kuwaambia wapaki watafute biashara nyingine. Anafikiri kupak semi 500 ni kama huo uwaziri wake wa kupewa. Hilo ni jasho, mipango, mikopo na ajira za watu miji yote yanakopita.
Huyu mushaija keshaanza kuchemsha
 
Nimeangalia hivyo idadi ya viwanda kumbe hata ukiwa fundi charahani pia unamiliki kiwanda, duuh Tanzania ni nchi ya ajabu kweli waziri mzima hajui tofauti kati ya Kiwanda na ufundi charahani
 
Kwa tafsiri ya wabongo kiwanda lazima kiwe kikubwa kama cha toyota,volkswagen. JF Home of Great Thinkers.
Ndio maana kuna madaraja kwenye hili
-viwanda vidogo
-viwanda vya kati
-viwanda vikubwa
Katika ujumla wake vyote ni viwanda!
 
Nadhani kuna usani na ukakasi katika kauli yake. Alitakiwa atuambie toka awamu hii ya 5 kushika atamu walikuta viwanda vingapi, vingapi vilikuwa kwenye operation na vingapi vilikuwa vimekufa. Mpaka sasa kuna viwanda vingapi vimeanzishwa na awamu hii ya tano na vingapi vilifufuliwa kati ya hivyo. Na vingapi ni vya serekali na vingapi vya binafsi. Sio aweke takwimu za viwanda vilivyokuwepo toka awamu zilizopita aseme ndio yeye kavileta.
Good
 
Viwanda 52000 kwa mwaka mmoja? These people aint serious! Itakuwa wanahesabu mpaka mashine za kukoboa mahindi na za kupiga tofali. Inabidi tufafanuliwe tunamaanisha nini tunapozungumzia viwanda! Tuambiewe viwanda vidovidogo, vya kati na vikubwa ni vingapi! Sio tu viwanda. Hata mashine yangu ya kutotolea vifaranga nayo ni kiwanda!
Kuna Mdau amesema Kijijini kwap kuna Viwanda Kadhaa vya kutengeneza Gongo
 
Acha ubishi wewe; Mitanzania bhana! Yaani kila kitu wao ni kupinga tu... no research, no right to speak! Nimefanya utafiti, nimegundua Kaijage yupo sahihi or else, prove otherwise:

Kiwanda cha Kuzalisha Mafuta ya Alizeti

View attachment 424474

Kiwanda cha Kuzalisha Jibini a.k.a Cheese


View attachment 424477
Kiwanda cha Kuzalisha Matofali

View attachment 424478

Kiwanda cha Kuzalisha Mafuta ya Mawese

View attachment 424479
Kiwanda cha Kubngua Korosho

View attachment 424480
View attachment 424483
Kiwanda cha Kuzalisha NondoView attachment 424485
Kiwanda cha Kuzalisha Mafuta ya Alizeti
View attachment 424487

Leteni sasa ubishi wenu... hapo nimeweka sekta chache sana lakini assume kuna viwanda 20 kwa kila sekta hapo juu... unapata viwanda vingapi hapo? Sio kila mnapinga bhana.....!!!
Hivyo siyo viwanda mkuu,hizo ni karakana, umeishia darasa la ngapi?
Hivi na wewe unaamini kabisa kuwa kuna viwanda 52,000?
Hakika Tanzania ni taifa la wajinga hasa.
Viwanda 52,000 Tungekuwa navyo nchi yetu ingelikuwa na uchumi mkubwa kuliko hata Uingereza na sweden.
Ondoa ushabiki uliokithiri, kiwanda kimoja kina uwezo wa kuajiri watu si chini ya 2,000.
Sasa Chukua 2,000 mara 52,000=104,000,000 .
Kwa hiyo kila mtanzania angekuwa na ajira hadi tungeomba mamilioni ya wahamiaji ili kuja kufanya kazi, Kama ilivyo canada na marekani.
Kifupi hata China wala Japan wasingeweza kutufikia, tungelikuwa superpower si tu Africa, bali duniani pia.
Hapo bado hujaweka migodi, na sekta ya kilimo na utalii.
Tungelikuwa taifa Tajiri kupindukia.
Hizo ni karakana 52,000 na siyo viwanda.
Ulivyo mjinga unaweka hadi sehemu za kufyatulia tofali halafu unaita kiwanda.
Huo mwenge umebomoa kabisa uwezo wenu wa kufikiria, yaani mavi mnaita keki.
 
Acha ubishi wewe; Mitanzania bhana! Yaani kila kitu wao ni kupinga tu... no research, no right to speak! Nimefanya utafiti, nimegundua Kaijage yupo sahihi or else, prove otherwise:

Kiwanda cha Kuzalisha Mafuta ya Alizeti

View attachment 424474

Kiwanda cha Kuzalisha Jibini a.k.a Cheese


View attachment 424477
Kiwanda cha Kuzalisha Matofali

View attachment 424478

Kiwanda cha Kuzalisha Mafuta ya Mawese

View attachment 424479
Kiwanda cha Kubngua Korosho

View attachment 424480
View attachment 424483
Kiwanda cha Kuzalisha NondoView attachment 424485
Kiwanda cha Kuzalisha Mafuta ya Alizeti
View attachment 424487

Leteni sasa ubishi wenu... hapo nimeweka sekta chache sana lakini assume kuna viwanda 20 kwa kila sekta hapo juu... unapata viwanda vingapi hapo? Sio kila mnapinga bhana.....!!!

Acha kua ssume when you ASSUME you are trying to make an ASS out of U and ME
 
View attachment 424435

Kuelekea uchumi wa viwanda nchini, serikali imefanikiwa kufufua na kuanzisha viwanda ambapo kwa sasa vinavyofanya kazi vipo zaidi ya 52,000. Sekta hiyo pia imetajwa kuwa inatarajia kukuza uchumi wa watanzania asilimia 40.
.....
Amesema maonesho hayo pia yatatoa taswira ya juhudi za ujenzi wa viwanda katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.


Chanzo: Dewji Blog
Mimi nilifikiri ni EX-waziri Kitwanga tu ndio anatwanga pombe ndiyo baadae anaongea. Huyu nae anatoa kauli za kilevi. Kama Tanzania ina viwanda vya idadi anayoitaja ni kwa nini wanataka Tanzania ya viwanda wakati yenyewe ni nchi ya viwanda tayari?

Nilimsikia akijisifu juzi alioorodhesha mikataba na Morroco kwamba alinzisha kampuni/kiwanda kwa mkono wake na enyewe ilikuwa inafunga mkataba na wamorroco. Nikakumbuka Infosys.

Msikilize dakika 06:32


Ya Kitwanga.
 
Dah kwa viwanda elfu 52 nadhani hata ujerumani nchi iliyoendelea zaidi ulaya kiviwanda haitufikii,
Uwongo mwingine bwana wala huhitaji PhD kung'amua
vipo vingi tuu, na changu cha kimashine cha kusaga unga nacho kimo.
 
Back
Top Bottom