Waziri Mwijage: Kufungwa kwa kiwanda cha Dangote hakutaathiri upatikanaji wa sementi nchini

Du Mh. Waziri,

Hata walipohamisha fedha waliambiwa adhari zitakuja walibisha. sasa wanasingizia watu wameficha fedha

waliambiwa utumbuaji haulipi sasa tunalipa Zaidi 12 billion kwa watu ambao hawafanyi kazi yeyote wanasubiria hukumu ama dislinary action ambazo nazo kizungumkuti

Ee Mungu wa rehema fungua masikio yao waweze kusikia na macho yao waweze kutazama na kuona.

Prof. Faustine Mkenda ni mchumi mzuri mshauri waziri wako vinginevyo tunaua sector muhimu kwa ukuaji wa uchumi na ajira
 
Huna adabu wewe,

Unataka serikali impe Dangote Makaa ya mawe bure? au Gas bure? Serikali ikikubali kumpunguzia bei ya makaa ya mawe au gas wengine nao watalalamika.

Sasa, kipi nafuu, Ununue Makaa hapa nchini au uagize Afrika kusini wakati sisi tunayo?

Acheni ushamba,,,, Huyo Dangote amekuwa Mungu sasa?
Mnauwezo wa ku supply kwa kiwango anachotaka?
 
Sasa Unataka serikali ifanyeje?

Impe Makaa au Gas bure au?

au impe kibali aendelee kuagiza Afrika kusini wakati sisi tunayo? hizo ajira zote zife?
Ajira gani...mnaweza kuchimba makaa ya mawe nyie wazaramo? Mnakaa ckunzima kiongea na simu na kupiga story tu alafu eti ajira zitakufa...to hell.
 
Asilimia 98 ya serikali hii wana fikiria kwa kutumia vioungo tunavyokalia na kutolea haja either kubwa ama ndogo wakiongozwa na John Punguani Mbumbumbu
Polepole mkuu, hao jamaa hawachelewi kukufikisha mahakamani na kuhakikisha dhamana hupati hata kama ni haki yakko Kisheria.
 
Habari wakuu,..


Huu ni muendelezo wa kauli tata za viongozi wetu juu sintofahamu kubwa iliyopo kati ya Serikali na kiwanda cha mfanyabiashara mkubwa Dangote.


Kauli hiyo ameisema Waziri mwenye dhamana ya viwanda, Bw Charles Mwijage.

Nimeshangaa kuona kiongozi kama huyu kukosa hata simple theory ya mambo ya uchumi, yaani suala la Demand/Supply/Price.



Ameshindwa kujua kiwanda cha Dangote kinachozalisha sementi kilifanya Suppy ya sementi uraiani kuwa kubwa, hali iliyopelekea Price au bei ya sementi hata kwa viwanda vingine kushuka kutokana na ushindani hivyo kupelekea watu wengi kumudu kununua sementi.


Badala yake ametujia na "NGONJERA" Ati kwamba sementi inapatikana tusijali, ameshindwa kutafakari kwamba baada ya Dangote kuondoka sokoni bei ya sementi iliyokuwa imeshuka itapanda na hata wananchi waliokuwa na matumaini ya kujenga watakwama.


Wananchi ndiyo tunaumia, tunaomba serikali imalize mvutano na huyu mfanyabiashara..



Chanzo : TBC Taifa.
Kama ni kweli ametoa hiyo kauli siogopi kusema huu ni mkakati maalum uliopangiliwa vizuri na Compitetors wa Dangote, na huyo atakuwa amehongwa na kufanikisha hilo.
 
Hivi hakuna jambo lingine Muhimu Zaidi ya hili la Dangote? Tumechoka kujadili hili swala la Dangote, anunue Makaa yetu ya hapa ndani hataki aache, ulishaona mtu unajipangia bei unayotaka kuuziwa bidhaa? yaan anajipangia bei ya gas yetu eti auziwe kwa $ 4 :75? bei hii ni ya kuchimbia gas visimani sasa yeye anataka auziwe.

Ninachokiona hapa ni kwamba, Kuna Mawaziri wa serikali iliyopita na baadhi wa ya sasa ambao wana hisa huko ndio wanaotaka kumtikisa JPM, bwanae, hataki afunge kiwanda, hatuwezi kumbembeleza mtu kwa raslimali zetu, hataki afunge, kabla yake kwani tulikuwa hatujengi nyumba?

Kwanza, Nyati wanajenga kiwanda kingine Bagamoyo cha tani Milioni 3 kwa mwaka, hataki kutusikiliza na sisi aondoke...
Mbona wengine wanachimba dhahabu zenu kwa mrahaba wa 3% na wao wanachukua mpaka mchanga yaani 97% hamsemi au kwa kuwa ni Wazungu? Ila mweusi mwenzenu mapovu yanawatoka! Nyeusi still remains black forever!
 
Huna adabu wewe,

Unataka serikali impe Dangote Makaa ya mawe bure? au Gas bure? Serikali ikikubali kumpunguzia bei ya makaa ya mawe au gas wengine nao watalalamika.

Sasa, kipi nafuu, Ununue Makaa hapa nchini au uagize Afrika kusini wakati sisi tunayo?

Acheni ushamba,,,, Huyo Dangote amekuwa Mungu sasa?
Si biashara huria mikataba yenu inasemaje? Kama kuna sehemu inayompa haki ya kuagiza malighafi popote sasa kosa lake nini?
 
Ni Ujinga Kutumia Viungo vya kufikiria Kutukana wenzako au Walioko Serikalini kwa sababu tu wewe ni Chadema.
Anthon Komu nimempenda kaongea vizuri sana tofauti na Vicheche wengine ambao kwao ni kulaumu tu! Komu katoa Ushauri mzuri sana kwa Serikali, kasema baada ya wiki 2 Kiwanda kisipofanya Kazi tutamvuta Shati Mwijage kumuwajibisha. Muungwana huongea hivi Bravo Komu.
 
Huna adabu wewe,

Unataka serikali impe Dangote Makaa ya mawe bure? au Gas bure? Serikali ikikubali kumpunguzia bei ya makaa ya mawe au gas wengine nao watalalamika.

Sasa, kipi nafuu, Ununue Makaa hapa nchini au uagize Afrika kusini wakati sisi tunayo?

Acheni ushamba,,,, Huyo Dangote amekuwa Mungu sasa?
John Punguani Mbumbumbu
 
Habari wakuu,..


Huu ni muendelezo wa kauli tata za viongozi wetu juu sintofahamu kubwa iliyopo kati ya Serikali na kiwanda cha mfanyabiashara mkubwa Dangote.


Kauli hiyo ameisema Waziri mwenye dhamana ya viwanda, Bw Charles Mwijage.

Nimeshangaa kuona kiongozi kama huyu kukosa hata simple theory ya mambo ya uchumi, yaani suala la Demand/Supply/Price.



Ameshindwa kujua kiwanda cha Dangote kinachozalisha sementi kilifanya Suppy ya sementi uraiani kuwa kubwa, hali iliyopelekea Price au bei ya sementi hata kwa viwanda vingine kushuka kutokana na ushindani hivyo kupelekea watu wengi kumudu kununua sementi.


Badala yake ametujia na "NGONJERA" Ati kwamba sementi inapatikana tusijali, ameshindwa kutafakari kwamba baada ya Dangote kuondoka sokoni bei ya sementi iliyokuwa imeshuka itapanda na hata wananchi waliokuwa na matumaini ya kujenga watakwama.


Wananchi ndiyo tunaumia, tunaomba serikali imalize mvutano na huyu mfanyabiashara..



Chanzo : TBC Taifa.
Kufungwa kwa kiwanda cha Dangote kitakuwa na hasara kubwa sana kwetu watanzania. Kwanza ajira 1000 kwa watanzania zitakosekana, pia tulishaanza kufaidi cement kwa 11500 tu, na sasa itapanda kurudi kulekule 15,000, tatu suppliers mbali mbali watakaokuwa wanapata kazi kwa kuwepo kiwanda kile watakosa kazi. Bila kusahau kodi ambayo tutakosa itakayoweza kuziba pengo la angalau dawa hospitalini au elimu kwa watoto wetu. Na maendeleo yatakayopatina Mtwara kwa sababu ya kiwanda je? Hizi ni baadhi tu ya hasara tutakazopata kama watanzania. Hicho kiwanda tunakihitaji sana kwa maendeleo ya Taifa hili. Kwanza tokea ubinafsishaji wa mashirika ya umma nchi hii haijapata mwekezaji wa maana. Wawekezaji wote wanawekeza katika miradi midogo midogo inayorudisha hela zao haraka. Huu ni uwekezaji mkubwa sana wenye multiplier effect nyingi sana na very beneficial. Nadhani serikali yetu tukufu italiangalia hili suala kwa uzito wake. Nasikia Kenya wako tayari kumpa eneo bure, makaa ya mawe bure kwa kipindi fulani ma kugharamia gharama za kuhamisha mitambo. Sijui kama taarifa hizi ni za kweli.
 
Kufungwa kwa kiwanda cha Dangote kitakuwa na hasara kubwa sana kwetu watanzania. Kwanza ajira 1000 kwa watanzania zitakosekana, pia tulishaanza kufaidi cement kwa 11500 tu, na sasa itapanda kurudi kulekule 15,000, tatu suppliers mbali mbali watakaokuwa wanapata kazi kwa kuwepo kiwanda kile watakosa kazi. Bila kusahau kodi ambayo tutakosa itakayoweza kuziba pengo la angalau dawa hospitalini au elimu kwa watoto wetu. Na maendeleo yatakayopatina Mtwara kwa sababu ya kiwanda je? Hizi ni baadhi tu ya hasara tutakazopata kama watanzania. Hicho kiwanda tunakihitaji sana kwa maendeleo ya Taifa hili. Kwanza tokea ubinafsishaji wa mashirika ya umma nchi hii haijapata mwekezaji wa maana. Wawekezaji wote wanawekeza katika miradi midogo midogo inayorudisha hela zao haraka. Huu ni uwekezaji mkubwa sana wenye multiplier effect nyingi sana na very beneficial. Nadhani serikali yetu tukufu italiangalia hili suala kwa uzito wake. Nasikia Kenya wako tayari kumpa eneo bure, makaa ya mawe bure kwa kipindi fulani ma kugharamia gharama za kuhamisha mitambo. Sijui kama taarifa hizi ni za kweli.
Unataka uandikiwe kirumi mkuu?
 
Back
Top Bottom