Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 203
mi nahisi hiyo ni jama za mafisadi kumng'oa pale sababu kawabana hawapati mijihela waliyozoea kupata kabla proff hajaja.
Prof Muhongo na Maswi wameharibu mipango mingi ya mafisadi na wanatafuta jinsi ya kuwachafua waonekane hawafai.
Prof Muhongo ni Muongo saana. Kwanza keshatudanganya hakuna mgawo wa umeme wakati tunashinda na wakati mwingine tunalala giza. Sasa kama sio uongo ni nini???
Mkuu wangu ktk Tanzania usimwamini yeyote na hasa waliopo sehemu nyeti kama hii ya Nishati na Madini. Kuna habari kwamba vita hii ilikuwa na mambo mengi binafsi ikiwemo mahusiano ya kifuska kati ya Maswi na wabunge wawili wa viti maalumu CCM, Sarah Msafiri na Vicky Kamata!
Kwa wanaoifahamu vyema wizara ya madini na nishati na mfumo mzima wa hujuma ndani ya TANESCO wanaelewa Prof. anachosema. Ukweli ni kwamba wizara hiyo haijawahi kumpata mtu wa aina ya Prof. Muhongo ambaye kwa sasa anashambuliwa toka kila upande ili aachie ngazi, awaachie mafisadi mwanya wa kupumua. Alichojaribu kukifunuaa Prof. ni "Tip of an iceberg" pole pole ukweli utajifungua na mkweli kuthibitika, kama si kaatika awamu hii ya serikali angalau ijayo.Naamini kwamba waziri wetu wa nishati na Madini ni aina ya Mtu ambaye Tanzania inakaribia kuwapoteza. Ana tumia akili alizonazo,hashawishiwi kwa pesa na anafuata maadili yake. Tusiwe wajinga hongo iliyopo nishati na madini ni zaidi ya ndoto za wachangiaji kwenye Uzi huu. Tumpe support ndugu yetu HUYU na tuache kulaumu kwa sababu za udhaifu binafsi
Mimi naamini kamati ya ngwilizi,makinda na wabunge wamesema uongo,namwamini prof. muhongo kwakuwa hata kama atadanganya sio kiasi kikubwa,bunge limeogopa kudhalilika lakini ukweli upo na wabunge wanaujua ukweli huo.
Ndugu wana jamvi kama mlivyoona kauli ya spika kuwa waziri ni mwongo na asirudie tena kuwatuhumu watu wakat hana ukweli.
je Ana faa kuendelea kuwa waziri wakati ni mwongo?
kwa wasio na kumbu kumbu ya nyuma waziri alisema wabunge wamehongwa na makampun ya uuzaji mafuta ili kuyapendelea! Kamat imesema si kweli!!
Au kwa vile Tanzania kujiuzuru ni neno geni! Na haritumiki kwa serikali hii?
Ndugu wana jamvi kama mlivyoona kauli ya spika kuwa waziri ni mwongo na asirudie tena kuwatuhumu watu wakat hana ukweli.
je Ana faa kuendelea kuwa waziri wakati ni mwongo?
kwa wasio na kumbu kumbu ya nyuma waziri alisema wabunge wamehongwa na makampun ya uuzaji mafuta ili kuyapendelea! Kamat imesema si kweli!!
Au kwa vile Tanzania kujiuzuru ni neno geni! Na haritumiki kwa serikali hii?
Prof Muhongo ni Muongo saana. Kwanza keshatudanganya hakuna mgawo wa umeme wakati tunashinda na wakati mwingine tunalala giza. Sasa kama sio uongo ni nini???
Yaa, muongo kama lilivyo jinale. Mgao upo though kimya kimya
Zitto mkweo nini. Mwanasheria Mkuu wa Serikali alieleza baadhi ya hoja za Mhe. Zitto kuwa zinashughulikiwa na taasisi zingine tayari. Baadhi akakubaliana na kusema zinahitaji kufanyiwa Kazi kwanza. Naona wewe hukusikiliza ila ulikuja kusimuliwa tu. pole.
Watanzania siyo wajinga;Anne Makinda aliwekwa pale kitini na mafisadi ili kulinda mafisadi.Hicho ndicho akifanyacho.Wabena ni wakweli daima-imekuwaje huyu bibi kuwa Mwongo aliyekubuhu.
Hoja ya Zitto ilikuwa nzito na muhimu, Werema akaifutilia mbali,werema kama Makinda wapo kuwalinda mafisadi.
Prof Muhongo ni Muongo saana. Kwanza keshatudanganya hakuna mgawo wa umeme wakati tunashinda na wakati mwingine tunalala giza. Sasa kama sio uongo ni nini???
Wewe ndo mwongo. Umeona wapi mgao wa Umeme. Jifunze, na nadhani itakusaidia maishani Mwako, kutofautisha Kati ya mgao wa umeme kwa upande Mmoja na kukatika kwa Umeme kwa hitilafu zinazotokea bila hodi na pia kwa matengenezo yaliyopangwa. Kukatika kwa ghafla tumeona baada ya matengenezo Wananchi wakiombwa radhi na kuzima Umeme kwa matengenezo taarifa hutolewa mapema. Sasa Kama wewe hisikilizi wala husomi vyombo vya habari ndo matokeo hayo. Pole tena