Manyi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 3,253
- 604
Haitakuwa ajabu kwa Muhongo kuwa mwongo maana ni bonge la TISS!!
Moja wapo ya sifa ya kuwa TISS, ni lazima uwe mwongo. Mwanagalie JK, Kikula wa UDOM, n.k.
Duuh, amenza lini kuwa TISS????
Haitakuwa ajabu kwa Muhongo kuwa mwongo maana ni bonge la TISS!!
Moja wapo ya sifa ya kuwa TISS, ni lazima uwe mwongo. Mwanagalie JK, Kikula wa UDOM, n.k.
Duuh, amenza lini kuwa TISS????
Ndugu wana jamvi kama mlivyoona kauli ya spika kuwa waziri ni mwongo na asirudie tena kuwatuhumu watu wakat hana ukweli.
je Ana faa kuendelea kuwa waziri wakati ni mwongo?
kwa wasio na kumbu kumbu ya nyuma waziri alisema wabunge wamehongwa na makampun ya uuzaji mafuta ili kuyapendelea! Kamat imesema si kweli!!
Au kwa vile Tanzania kujiuzuru ni neno geni! Na haritumiki kwa serikali hii?
Prof Muhongo ni Muongo saana. Kwanza keshatudanganya hakuna mgawo wa umeme wakati tunashinda na wakati mwingine tunalala giza. Sasa kama sio uongo ni nini???
Tikatika acha kutikisa mtogwa ulio kichwani kwako. Unategemea nini kamati ya bunge la ccm kuwachunguza wabunge wa sisiem? Hao waliotuhumiwa au kusingiziwa waende mahakamani ndiko mbivu na mbichi zitajulikana
...kwetu sisi wa mtaani ambao tukitazama "necha" ya kinachojadiliwa huamini pia ushahidi wa kimazingira (tofauti kabisa na kina "joni kisomo" wa bungeni, na wa "humu jf" halikadhalika) hatuajaamini kama profesa kaongopa...ushirikiano wa kutafuna "za umma"...huwafanya hata mahasimu wa itikadi za kisiasa kuwa washirika..usisahau somo kwenye skandali ya bi saada wa kiti4..aliekuwa katibu wa cdm alishiriki na wana "nambari 1" kuhujumu...kimazingira, "purofesa" na maswi..wana ukweli, lkn ukweli umehujumiwa "ki-joni kisomo"...voice frm the street...ALUTA CONTINUA...!Ndugu wana jamvi kama mlivyoona kauli ya spika kuwa waziri ni mwongo na asirudie tena kuwatuhumu watu wakat hana ukweli.
je Ana faa kuendelea kuwa waziri wakati ni mwongo?
kwa wasio na kumbu kumbu ya nyuma waziri alisema wabunge wamehongwa na makampun ya uuzaji mafuta ili kuyapendelea! Kamat imesema si kweli!!
Au kwa vile Tanzania kujiuzuru ni neno geni! Na haritumiki kwa serikali hii?
Ukweli hautaujua kamwe!jaribu kufikiria nje ya box kidogo tu mtaelewa!Prof alitaka apasue ukweli na ku-resign awaachie upuuzi wao na uongo wao waendelee nao,wakaitwa kwa majadiliano,huyo bi kiroboto akaambiwa wasimsumbue Prof maana ana akzi kubwa sana kwa manufaa ya taifa hasa kwenye madini,nishati,gesi na mafuta yake zaidi ya upuuzi wao wa kuindana ndani ya bunge,ile report imesukwa kumaliza uhasama na kuyafanya hayo yawe historia.Ndio maana umeona Prof ametulia ama la angewaachia upuuzi woa wa kubebana na kulindana,siasa za maji taka!