juma pombe maguhussain.serikali inapesa nyingi zakutosha
by JPM
JUMA POMBE MAKANDE
juma pombe maguhussain.serikali inapesa nyingi zakutosha
by JPM
JUMA POMBE MAKANDE
Bajeti ya nchi hii inaheshimiwa na waliopo madarakani?hii nchi Ina budget na budget ni sheria.
The burden of proof is on you, not me!
Hamuelewek kwakweli kauli ya kwamba tunahela nyingi hela zao zamisaada (MCC) hatuzitaki mkapiga makofi kwamba hatuzitaki zile hela za maendeleo leo tunaenda kopa Tena na riba juu unasema safi Ndio maendeleo... Hebu tuwe na aibu kidogo daaaahSafi sana hayo Ndio maendeleo
We unaonaje?Bajeti ya nchi hii inaheshimiwa na waliopo madarakani?
Huwezi kuelewa kwa sababu umeamua kuwa nunda ila ni Haki yako Kikatiba.Hiki ulichoandika hapa kinaonyesha jinsi ulivyo na uelewa mdogo kuhusu deni la Taifa. Uliza kitu kama huelewi badala ya kuandika vitu ambavyo haviingii akilini.