Waziri Mpango yuko Korea kaenda kukopa Exim bank

Hii serikali ni ombaomba kumbe?anyway ni kwa wale waliokosa mikopo au NDEGE KUBWA KWA KESHI?AU RELI YA KATI? NAFIKIRI TU.
 
Source chanell ten.

Yuko China na kasain mikataba ya mikopo chini ya benki ya exim bank na ADB kwa ajili ya maji taka ya mji wa Dar na mkopo mwingine ni kwa ajili ya umeme wa Mbeya - Kigoma
Mikopo yote itakayochukua Serikali ya awamu ya tano nina uhakika hizo fedha zitatumika vizuri"
 
Mnafurahia tu nyoooo
Kila mtanzania ana daiwa sh. ngapi kwenye deni la taifa?
 
Deni limeshafikia shingoni Mkuu lakini huyu asiyetaka kucheleweshwa na mtu hana uelewa huo na washauri wake na baraza la Mawaziri kishawatisha vya kutosha hakuna anayeweza kumpinga. Waendelee kukopa tu lakini kama hawataachana na hii "mikopo ya masharti nafuu" lakini hizo details wanazificha basi uchumi wa nchi utakuwa kwenye matatizo makubwa.

eti hata vikifumuka bei eti tutazarisha wenyewe...eti sijui ndiyo tutakua hatutumi dolali...yaani kipindi hiki wachumi wetu utadhani ndiyo wamekata semesta ya kwanza ya uchumi pale dizim...fulu mandoto ya kuifukuzia na kuikamata marikani. Kujua difinishens tu wanajiona majinazi wa uchumi.
Ngoja tuwemo ili tuuone mwisho wake.
 
Mikopo yote itakayochukua Serikali ya awamu ya tano nina uhakika hizo fedha zitatumika vizuri"
Mpaka awamu hii ipite tutakuwa tunanuka madeni.

Eti nasikia kila mtanzania anadaiwa milion. Hii ina ukweli?
 
Source chanell ten.

Yuko China na kasain mikataba ya mikopo chini ya benki ya exim bank na ADB kwa ajili ya maji taka ya mji wa Dar na mkopo mwingine ni kwa ajili ya umeme wa Mbeya - Kigoma
Sio china ni korea
Je hutaki watu wa mbeya na kigoma wapate umeme wa uhakika?
 
Mikopo yote itakayochukua Serikali ya awamu ya tano nina uhakika hizo fedha zitatumika vizuri"
Fedha silizotumika vibaya ni zipi?
Na silikopwa na serikali ipi?
Ya chama kipi?
Je huyu JPM hakuwepo kwenye hiyo serikali?
 
Hiki ulichoandika hapa kinaonyesha jinsi ulivyo na uelewa mdogo kuhusu deni la Taifa. Uliza kitu kama huelewi badala ya kuandika vitu ambavyo haviingii akilini.

Juzi mlikuwa mnalialia eti kulipa deni kila mwezi bilioni 700 huku makusanyo yakiwa trillion 1.2 mkaanza kuimba serikali haiwezi kujiendesha kwa milioni 500 mara eti ahadi halitekelezeki ...mtaendelea kubweka till la die huku serikali ikizidi kuwaletea maendeleo. Ni sawa na mtu anayependa kuchekea chooni
 
Mungu wangu kwa mwaka mmoja kakopa trillion 20
Sijui Magufuri anatupeleka wapi na ndo dr. Mpango kaenda kuongeza deni
Wallah..!! yani tumepigwa changa.
Sijui hadi 2020 atakuwa kakopa sh. Ngapi makadilio Trillion 80

kopa kama unakopesheka kwani kama hukopesheki huwezi kopa
 
Sisi ma-Tanzania ni mataahira! Sasa tuliwafanyia jeuri ya nini hawa jamaa wa MCC? Eti nilisikia mtu anawasifia China kwamba ni marafiki wa kweli hawatoi misaada yenye masharti, sasa huko kwenda kukopa ndo msaada huo? Mamamazetu kabisa!!
 
Walifikri kuongoza nchi ni sawa na kusimamia klabu ya pombe aina ya "mapuya?"
 
Yuko Korea na kasaini mikataba ya mikopo chini ya benki ya exim bank na ADB kwa ajili ya maji taka ya mji wa Dar na mkopo mwingine ni kwa ajili ya umeme wa Mbeya - Kigoma


Nadhani huyu jamaa ndio waziri wa fedha mbovu kuliko wote waliowahi kuwepo nchi hii , afadhali hata Saada Mkuya .
 
Sisi ma-Tanzania ni mataahira! Sasa tuliwafanyia jeuri ya nini hawa jamaa wa MCC? Eti nilisikia mtu anawasifia China kwamba ni marafiki wa kweli hawatoi misaada yenye masharti, sasa huko kwenda kukopa ndo msaada huo? Mamamazetu kabisa!!
Ulaghai wa ccm hata shetani anashangaa !
 
Vilembwe na vilembwekeze vyako watakulipia mkopo wako nao watalipiwa na vya kwao. So sad poverty vicious cycle
 
Habari yako bwana Kobello. Lete data hawa watu waelewe kwamba kama nchi tunajitegemea na wala hilo deni halitakuwa mzigo usiobebeka!!
Hapo huhitaji data, tunahitaji kutumia ubongo kufikiria na wala siyo kutumia makalio ya maliwato.

Kukopa ni kujitegemea, na debt sustainability analysis hufanywa na mabenki pia. la sivyo Exim na AfDB wangewakopesha Somalia.

Wewe sasa ndiyo unatakiwa u prove kuwa huu mzigo haubebeki. Siyo kwa maneno tu, hii nchi Ina budget na budget ni sheria.

The burden of proof is on you, not me!
 
Back
Top Bottom