mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Nikweli tunahitaji dual citizenship lakini kwa sheria iliyopo, ukiwa raia wa nchi yoyote ile basi automatically unapoteza sifa za kuwa raia wa Tanzania sasa kama kweli kuna waziri anauraia wa USA basi kapoteza sifa za kuwa mtanzan iaTatizo la Watanzania ni ushabiki na uivu na ndiyo maana nchi yetu haiendelei. Je ni kwanini hatuna Dual Citizenship mpaka sasa
Nchi za ulaya, India, China, Nigeria, Mexico, USA etc zina ruhusu Dual je sisi ni kwanini hatuna, je tuna kitu gani special na hizi nchi nyingine hazina??. Kama mtu ni mzawa au ni mtoto wa mzawa sioni sababu ya muhimu ya kumnyima Dual Citizenship. Zaidi ya kejeli, madongo, na wivu kwa Watanzania wanaoishi nje hakuna sababu ya msingi ya kutokuwa na Dual Citizenship.