Wakuu zangu naomba tujadili hii safari ya waziri mkuu wa Canada, Mheshimiwa Harper ambaye atatua nchini muda wowote itakuwa na manufaa gani kwetu na pia tujadili ni jinsi gani ujumbe wetu unaweza kumfikia..
Kesha pitia Senegal na South Sudan nadhani kesho atakuwa Bongo, huu mkataba ulowekwa Ottawa majuzi unanipa mashaka makubwa kuhusu miradi yao nchini na ndio sababu nimeweka mada hii niwasikie viongozi wetu wa vyama vya Upinzani wamejiandaa vipi?Kama sikosei, Harper safari ya Harper itajumuisha Tanzania na DRC (madini). Canada ina interest kubwa sana kwenye hizi nchi mbili, safari yake DRC imeleta kelele kidogo huko Canada kwa sababu kuna issues nyingi sana za human right DRC. Wenzetu wakiamua kuwekeza mahali wanaamua kimoja.
Wakuu zangu naomba tujadili hii safari ya waziri mkuu wa Canada, Mheshimiwa Harper ambaye atatua nchini muda wowote itakuwa na manufaa gani kwetu na pia tujadili ni jinsi gani ujumbe wetu unaweza kumfikia..
JK. alipokuwa rais wa kwanza kuonana na Obama, kulikuwa na ahadi kuwa naye angekuja TZ kabla muhula wake wa kwanza haujaisha, imegeuka 'white elephant'. Nadhani naye amemwambia "usije tena kwangu nitakuja kwako". Otherwise he's coming for mines & gas
JK. alipokuwa rais wa kwanza kuonana na Obama, kulikuwa na ahadi kuwa naye angekuja TZ kabla muhula wake wa kwanza haujaisha, imegeuka 'white elephant'. Nadhani naye amemwambia "usije tena kwangu nitakuja kwako". Otherwise he's coming for mines & gas