Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Tundu lissu ni sehemu ya tatizo..anatumiwa na wanajumuia
Wa-TZ bana, tumelala usingizi zaidi ya wa pono!!! Nakumbuka tulivyokuwa tunakua!! Wakati tunaumwa malaria, ilikuwa balaa wakati wa kumeza dawa, maana dawa ilikuwa ni chloroquine; chungu balaa, so we used to play for God to bring down "dawa tamu"
Muungano wa Tg na Znz, ni timed bomb...