Waziri mkuu pinda nimtekelezaji wamipago yakikatili

Kipre tchetche

JF-Expert Member
Dec 13, 2010
238
40
Kweli waziri mkuu pinda amekuwa akitumiwa
Kama fimbo ya kupigia wanyonge na
na kuwalazimisha watanz wakubali
matakwa ya watawala hata Kama yanasababisha
maumivu kwa taifa , Kama sio yeye kuizima
rich mondi bungeni labda tusingefikia matokeo
haya ya dowans Huwezi mlinganisha na magufuli
Pamoja na kujipambanua eti mtoto wa mkulima
watanzania wameuwawa Kikatili na police
amekaa kimya huyu ni mtetezi wa nani?
Kweli viongozi wa serikali ya tanz wengi
kuwapo kwao madarakani ni janga kubwa
kwa watanz.
 
Kweli waziri mkuu pinda amekuwa akitumiwa
Kama fimbo ya kupigia wanyonge na
na kuwalazimisha watanz wakubali
matakwa ya watawala hata Kama yanasababisha
maumivu kwa taifa , Kama sio yeye kuizima
rich mondi bungeni labda tusingefikia matokeo
haya ya dowans Huwezi mlinganisha na magufuli
Pamoja na kujipambanua eti mtoto wa mkulima
watanzania wameuwawa Kikatili na police
amekaa kimya huyu ni mtetezi wa nani?
Kweli viongozi wa serikali ya tanz wengi
kuwapo kwao madarakani ni janga kubwa
kwa watanz.
Nilishasema zamani na leo narudia tena Pinda ni chui aliyejificha kwenye ngozi ya kondoo ni mbaya kuliko chui unayemuona. Nikasema tena heri Lowasa mwizi tunayemjua kuliko anayeiba na kuua kimya kimya.
 
Better the devil you know than the angel you do not know,,pinda kapinda hasa,ukiona mwanaume baba mzima analilia cheo ujue ana matatizo,,,kwake upm ni favor ya waliomweka na si utumishi wa umma,ila siku yaja na saa ipo karibu wote wanaowasaliti wtz watafungwa jiwe kubwa na kurushwa baharini penye kina kirefu,tuungane na kushikamana kwa ajili ya ukombozi wa nchi hii...
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom