Kipre tchetche
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 238
- 40
Kweli waziri mkuu pinda amekuwa akitumiwa
Kama fimbo ya kupigia wanyonge na
na kuwalazimisha watanz wakubali
matakwa ya watawala hata Kama yanasababisha
maumivu kwa taifa , Kama sio yeye kuizima
rich mondi bungeni labda tusingefikia matokeo
haya ya dowans Huwezi mlinganisha na magufuli
Pamoja na kujipambanua eti mtoto wa mkulima
watanzania wameuwawa Kikatili na police
amekaa kimya huyu ni mtetezi wa nani?
Kweli viongozi wa serikali ya tanz wengi
kuwapo kwao madarakani ni janga kubwa
kwa watanz.
Kama fimbo ya kupigia wanyonge na
na kuwalazimisha watanz wakubali
matakwa ya watawala hata Kama yanasababisha
maumivu kwa taifa , Kama sio yeye kuizima
rich mondi bungeni labda tusingefikia matokeo
haya ya dowans Huwezi mlinganisha na magufuli
Pamoja na kujipambanua eti mtoto wa mkulima
watanzania wameuwawa Kikatili na police
amekaa kimya huyu ni mtetezi wa nani?
Kweli viongozi wa serikali ya tanz wengi
kuwapo kwao madarakani ni janga kubwa
kwa watanz.