Walokole wamehoji kama kuvaa suti na kuendesha mashangingi kwa Watz haulingani na umasikini wetu ni bora Waziri Mkuu aonyeshe mfano kwa kutumia bajaji badala ya mchuma wa bei mbaya.
off course i even look at the PM funny for asking people not to do what they feel to do..we are spending our money ,clean money kama wao wanategemea kuvaa suti kwa hela za serikali kivyao.Walokole nao wamepinda tu. Au kwa sababu na wao kuvaa suti ndio zao? Nini Bajaji, hata ukiwashauri watumie Pajero au hata Rav 4 watakuona chizi.
Mwiba eleza vizuri nini unataka kusema kwenye mada hii maana sijaielewa na sijui wanaoichangia kama wanaielewa.Walokole wamehoji kama kuvaa suti na kuendesha mashangingi kwa Watz haulingani na umasikini wetu ni bora Waziri Mkuu aonyeshe mfano kwa kutumia bajaji badala ya mchuma wa bei mbaya.
Walokole nao wamepinda tu. Au kwa sababu na wao kuvaa suti ndio zao? Nini Bajaji, hata ukiwashauri watumie Pajero au hata Rav 4 watakuona chizi.
Walokole wamehoji kama kuvaa suti na kuendesha mashangingi kwa Watz haulingani na umasikini wetu ni bora Waziri Mkuu aonyeshe mfano kwa kutumia bajaji badala ya mchuma wa bei mbaya.
Husomeki ndugu yangu, hujasema kwa nini wakuone chizi, au mwenyewe unajisikia na kujiona chizi ukiwa mbele yao! Fafanua pls!