Mhache
JF-Expert Member
- Jun 20, 2008
- 345
- 24
Katika vyombo vya habari nimesikia tamko la Waziri Mkuu Pinda kutoa kauli ya kutaka kodi ipunguzwe kwenye mishahara. Kwangu nimeona Waziri Mkuu amewakumbuka wafanyakazi. Kwa sasa kodi ni kubwa sana kiasi inafikia robo ya mshahara wa mfanyakazi wa serikali. Kwa kauli hiyo naomba ifanyiwe kazi mara moja ili kutunusuru sisi waajiriwa.