Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Kama ulikuwa na 3 wakati Ule EPA inatokea, haukufanya lolote kuzuia. Rushwa ilitawala kila kona, na Boss wako akajimilikisha mgodi wa kiwira, je haukujua? Mh Waziri mkuu, sifa za kuingia Ikulu unazo, lakini your past inakatisha tamaa. Leo hii unalalamika rushwa, baada maji kufika shingoni, Kwani kukaa kimya kungekugarimu kiasi gani?
Nashindwa kutamka moja kwa moja, lakini jua limezama. Kuna mengi unaweza kufanya kusaidia watanzania, lakini Ikulu kwako ni msamiati
Nashindwa kutamka moja kwa moja, lakini jua limezama. Kuna mengi unaweza kufanya kusaidia watanzania, lakini Ikulu kwako ni msamiati