ffoas
Member
- Feb 23, 2011
- 34
- 5
Ni hivi leo tu kumerushwa habari kwenye televisions na radios kuhusu mlipuko kwenye kwenye sehemu ya kuzalisha umeme(JAPAN),pamoja na maafa mengine yaliyo wakumba,lakini kilichonifuraisha ni jinsi waziri mkuu wa nchi(NAOTO KAN) hiyo kuwapa moyo wananchi nakuwaeleza atalitatua tatizo hilo kwa kipindi chote hicho cha hali ngumu na japani itakuwa mpya tena kama hapo awali,lakini ukilinganisha na hali ngumu tuliyonayo wananchi wa tanzania waziri wetu mkuu hatoi moyo au kuonyesha ufuatiliaji kwa yale yanayotukabili hasa kwa kipindi hichi cha hali ngumu,zaidi kutoa shutuma na kuonyesha mabavu kwenye vyama pinzani vinavyotetea maslai ya wananchi,nahitaji mchango wenu wadau juu ya hili.