Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Hii sasa ndiyo CCM pure.
Chini ya CCM mambo ni yaleyale kwa style nyingine!Hoja ni kuwa vp kama mwanasheria mkuu sio mwaminifu?Huoni nchi itakuwa imewekwa rehani?Hivi hatujajifunza tu toka kwa chenge aliyepiga pesa madeal yote makubwa makubwa!Mikataba mingi aliyoingia chenge akiwa mwanasheria mkuu wa serikali ni ya kinyonyaji na imekuwa mzigo kwa nchii hii!
Waziri mkuu amejib vizuri tuu kwani huwezi kupeleka mikataba yootee bungen,, ipo ambayo itakuwa ikipelekwa bungen na pia ambayo Serikali itaendelea kuingia mikataba kwa mjibu wa katiba wakimshirikisha mwanasheria mkuu, lilikuwa swali zuri na jibu ni zuri.
wewe ndo uache ushabiki, unazifahamu kazi za bunge? unafananishaje bunge na chama?Hata vyama vya siasa navyo haviruhusu wanachama wote kujua chama kinaingia mikataba gani sembuse serikali! tuache ushabiki.
Huko unakofikiri kuna mwema tutajie ili umma wa watz umjue,,chini ya ccm hakuna jipya...uko wa panya hauwezi kubadilika kuwa wa sungura...ccm ni kijiji cha wachawi tu hakuna mwema hata mmoja na haitakuja tokea ccm wakatoa kiongozi mtetezi wa wanyonge....
wewe ndo uache ushabiki, unazifahamu kazi za bunge? unafananishaje bunge na chama?
Kumbe?Lugumi ishatupita kushoto
Aaah
Ni bora vitu kujionea mwenyewe, waziri mkuu hakujib vibaya kwa kweli na ame offer bunge lijitungie sheria kama linataka mikataba ya koas kadhaa iwe ina pelekwa bungeni, lakini pia sijajua kama serikali ambayo badly iko bungen itaruhusu bunge lisaidie kaz hyo
...watawezaje kukata mizizi walikoanzia...ama miti waliyokalia?...kama wameweza ku tolerate watu kama chenge kuwa mwenyekiti wa bunge lao...mtu aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu wakati mikataba tata ikifikiwa(ukiwepo ule wa IPTL) mnategemea nini...kama ni kuliwa wabongo wameshaliwa....kilichobaki ni kuganga yajayo....maana hata hiyo ya gesi hamna ajuaye tumepigwa kwa kiwango gani...tunadanganyika na kuwepo wa gesi...lakini hatujui tunapigwaje nyuma ya pazia....
Mbona hata wabunge wapo wasio waminifu tunawaaminije ? maana tunashudia katika sakata la Escrow na masakata mengine wabunge wetu walihongwa na wafanya biashara.ishu ni kwamba kama wabunge wanataka kubadili utaratibu wa kutomtumia mwanasheria mkuu basi wafanye hivyo tatizo liko wapi? Watanzania siku hizi tumekuwa hodari sana wa kulalamika aise da.