Waziri Mkuu kukutana na madaktari kesho

juma123, ll.b yangu ni ya udsm, nina lower second and the gate is open for ll.m lakini pia kama ilivyo medicine kwangu, ll.m pia sio dili. Hivi kumbe vyuo vingine thesis unaandikiwa?, mimi thesis yangu niliandika mwenyewe, supervisor wangu ni prof. Palamagamba kabudi!.

Serikalini i got fired!, why, na ni thesis ya nini sio issue za mada husika!, naombeni sasa tuendeleeni na mada!.


thesis ulitumia mika mingapi kumaliza???? Nadhani ukweli unaujua ndani ya moyo wako na mungu of what exactly transpired, back to mada mishahara ya watumishi wa umma lazima iwe rationalised kwanini mshahara wa tcra, bot, tra, sumatra, ewura, wabunge, nssr etc iwe tofauti kiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiivo, and yet kodi ni ya watanzania wote
 
Homeboy

This is very low again, be yourself.....kupiga picha na maraisi na kutembelea nchi kibao kwangu mimi si tija. Huku ni kujikuza ninakokuzungumzia, mimi kukutana na maraisi hainifanyi nisihoji your integridity and intellectual thinking yako. By the way ni rafiki yako FB. Ila usijikuze na kulazimisha hoja, wakati mwingine ni vyema ukaacha kuchangia kama point zimeisha. Haya bwana mkuu ninaungana na Madr kwa obvious reasons...serikali iheshimu rare professionals si kila mtu anaweza kuwa Dr ila kila mtu anaweza kuwa mwandishi wa habari.
Mkuu Rev, asante kwa hilo, nakuomba utumie urafiki wetu kule FB nione nilivyojikuza karibu nifike mbinguni!
Pia nakubaliana na wewe kuwa udaktari ni rare profession, na sio kila mtu anaweza kuwa daktari, ila pia nakiri kila mtu mwenye uwezo wa kushika kalamu na kuandika, anaweza kuwa mwandishi, na kila mwenye sauti anaweza kuwa mtangazaji!.
 
Pasco kwa nini tangu 2006 hadi sasa serikali ya watu walewale haijakaa chini ba madaktari kutafuta njia za kuboresha maslahi yao? Unafikiri serikali inahitaji muda gani kuanzia sasa kushughulikia matatuzo hayo ukizingatia kuwa imechukua miaka karibu miaka saba tangu madaktari watishie kugoma mwaka 2005?
 
Mkuu Ozzie, kwa kukusaidia tuu, nimemaliza Tambaza na C ya Math B ya Biology na C ya Kemia!. Hivyo sikufanikiwa kuwa daktari sio kwa kukosa sifa ama uwezo, bali by choice!. Najua kuna wengi wanauzimia udaktari lakini hawana uwezo nao, lakini pia nakuhakikishia kuna wengine wengi mimi nikiwa mmoja wao, kwetu sisi udaktari sio dili then na sio dili now na labda hata mpaka kesho, udaktari hautakuwa dili bongo!.

Nasisitiza tena na tena, madai ya madaktari ni genuine ila sasa wanavimba vichwa!. Kwangu mimi madaktari ni watumishi tuu kama watumishi wengine wa umma, no preferential treatment kwao as if they are very special!. Wao ni watu, walimu pia ni watu na watumishi wengine wa serikali ni watu pia!. Pinda leo awaene na kuwaamuru warudi kazini by Jumatatu asubuhi kinyume cha hapo, they get fired!. No body is indispensable!.
!.
Pasco.... Drs. Are induspensable in our countries

Ati they get fired.... Hebu jaribuni muone
 
Mkuu Pasco kiukweli inaonekana unaombea mno serikali iwatimue maDR by tommorow!
mmbangifingi, ni kweli. Niliwahi jifunza kutumia "will power" kuzuia magonjwa na kuponyesha yaliyopo. Sasa tangu nimerudi nchini, elimu hii haina ajira. Hivyo kama madaktari wote watafutwa kazi, nitajenga hoja kwa Blandina Nyoni ili niajiriwe kuwaelimisha Watanzania jinsi ya kumtumia daktari bingwa mkuu kuliko mabingwa wote, ambae yumo ndani ya kila mtu. Hivyo kelele zangu zote humu, ni njaa tuu ndio inayonisumbua!.
 
Mkuu Rev, asante kwa hilo, nakuomba utumie urafiki wetu kule FB nione nilivyojikuza karibu nifike mbinguni!
Pia nakubaliana na wewe kuwa udaktari ni rare profession, na sio kila mtu anaweza kuwa daktari, ila pia nakiri kila mtu mwenye uwezo wa kushika kalamu na kuandika, anaweza kuwa mwandishi, na kila mwenye sauti anaweza kuwa mtangazaji!.

'' to familiarize is to find the facts, going to school only help us, though we may not going to school but we can familiarize''
 
Halafu ni makosa makubwa sana kushangilia kalai za O'Level na kufikiri A'level ni rahisi kiasi hicho. PCB ni combination ngumu sana na yeyote aliyesoma science anajua hilo. Tusidharau fani za watu wakati sisi wenyewe hatuna fani inayoeleweka. Tunakaa mjini kimtindo mtindo tu...kwa huruma za watoa bahasha, lol!
Paseo Naye hutumika sana tu...l. Ila kwa hili arudi akadai ujira zaidi
 
Rai yangu.... Doctors wait for your colleagues from upcountry to meet pinda...

Pasco.... Subiri madokta wafukuzwe ujue nguvu ya other cadres especially nurser... And nursers wakigoma tu, teachers and polices will follow, maana hao ndio mliozoea kuwaonea na kuwatisha
 
Rai yangu.... Doctors wait for your colleagues from upcountry to meet pinda...

Pasco.... Subiri madokta wafukuzwe ujue nguvu ya other cadres especially nurser... And nursers wakigoma tu, teachers and polices will follow, maana hao ndio mliozoea kuwaonea na kuwatisha
kuna sms zinatembea kuhamasisha madaktari nchi nzima kwenda Dar kwenye kikao.kwa kuwa madaktari hawana uwezo wa kupanda ndege ndio maana wameamua kukutana na pinda j3 na sio j2.
 
Pasco kwa nini tangu 2006 hadi sasa serikali ya watu walewale haijakaa chini ba madaktari kutafuta njia za kuboresha maslahi yao? Unafikiri serikali inahitaji muda gani kuanzia sasa kushughulikia matatuzo hayo ukizingatia kuwa imechukua miaka karibu miaka saba tangu madaktari watishie kugoma mwaka 2005?
Mkuu Mzee Mwanakijiji, mimi sio serikali, mimi pia ni mwananchi kama wewe hivyo siwezi kuisemea serikali. Ila pia Mkuu Mwanakijiji, serikali yetu unaijua fika, utendaji wake pia unaujua. Madai ya madaktari ni genuine so does madai ya waalimu na madai wa wafanyakazi. Uwezo wa serikali yetu pia unajulikana, hivyo madai yoyote ili yatekelezwe lazima pia yaendane na uhalisia wa uchumi na serikali yetu.

Tangu kwenye ile thread yako, nilikuambia naunga mkono mgomo wa madaktari na ni mimi niliongezea kuwa hao wabunge waliopitishiwa posho za 200, wanakaa kikao, kiti cha kuzunguka kwa masaa 7 tuu, wakati madaktari hata ikibidi hukaa round the clock!.

Ninatofautiana na madaktari hawa katika njia na shinikizo wanalotumia at the expense of loss of innocent lives!. Ndio maana nikapendekeze, wasikilizwe, nao waamriwe na kutekeleza maagizo ya kurejea kazini, kinyume cha hapo, just let them get fired!
 
Mkuu Ndahani, naamini hakuna binaadamu yoyote mwenye akili timamu, anayeweza kumdharau daktari!. Mimi sijamdharau daktari ila nimesema fani ya udaktari kwangu sio dili!. Kuna watu wanatamani sana kuchaguliwa kuwa wakuu wa wilaya, lakini kuna wengine, mimi nikiwa mmoja wao, ukuu wa wilaya sio dili!. Tunamashabiki kibao wa siasa humu jukwaani, wengine ni wapambe, manazi na wanachama kabisa wa vyama vya siasa, kwao uanachama wa chama fulani ni dili, kwangu uanachama wa chama chochote cha siasa sio dili. Kuita sio dili, haina maana ni kudharau, hapana!.

Nakubaliana na wewe kuwa kufanya vizuri masomo ya science O-Level sio passport ya kupata MD, hilo nimelishuhudia kwa vipanga wetu wawili toka primary, walitua Mhimbili baada ya kufumua 1 za point 3 za PCB A-level, mmoja safari yake iliishia mwaka wa pili na mwingine alipiga kidogo mark time!. Hili halina ubishi.

Tukirudi kwenye mada, madaktari wetu, pamoja na umuhimu wote walionao kwa jamii yetu, pamoja na genuinity yote ya madai yao, lazima wawe reasonable kuipa serikali ample time ya kuyafanyia kazi madai hayo. Hakuna jibu la yes au no, yanatakiwa kufanyiwa upembuzi yakinifu ili utekelezaji wake uendane na uhalisia wa hali yetu ya uchumi!.

Wabunge wameshajiweka wao ni supper class, sasa na madaktaria wanafuatia, serikali ikuwakubalia kichwa kichwa, kila sekta itahitaji hiyo preferential treatment ndio maana mimi nimeshauri madakitari wasikilizwe ila nao pia na wao wasikilize na kutii amri halali, kinyume cha hapo, let them get fired, kazi zitangazwe na amini nakuambia miongoni mwao hao hao wataomba kwa masharti yale yale waliyogomea, na this time, there will be no room ya kugoma, ukiona huwezi, unaachia ngazi na kuwaachia wanaoweza!.
Hapa sijakuelewa.Lakini pia baada ya kupitia baadhi ya hoja zako napata shida kidogo na uwezo wako wakufikiri na pengine age uliyopo kwa sasa.
Kama unaweza fikia mahali ukafananisha fani ya Udaktari na zingine lazima unaupungufu wa aina fulani katika uwezo wa uelewa na tena wa mambo ya kawaida tu ambayo hayahitaji kwenda shule.
 
Mkuu Guyton, Physics nilipiga C as well ila pia nilikuwa na A ya siasa!. Kosoma science ndio ilikuwa family demand, mimi mwenyewe nilipenda kusoma sheria, O-Level nilifaulu vizuri zaid combi za science pali nili prefer arts na nikaenda Ilboru, ile foolish age na mizengua ya mji wa Arusha, nikakosa 1st Class na nikakosa sheria!. Nika opt journalism, na kwa vile ambition ya mwanzo ilikuwa ni kufanya LL.B, then nikafanya hiyo LL.B for the fan of it, now still doing journalism just for the love of it hivyo udakitari sio dili kabisa!

Nakubali madakitari ni fani ya heshima ila pia ni fani ya wito, kama wito wa hawa madaktari wetu ndio huu, naunga mkono wasipotokea kikao cha leo, let them be fired wakaupeleke wito wao huko kwenye pesa nene!

Physics hukupata C mkubwa!
 
Mkuu Ozzie, kwa kukusaidia tuu, nimemaliza Tambaza na C ya Math B ya Biology na C ya Kemia!. Hivyo sikufanikiwa kuwa daktari sio kwa kukosa sifa ama uwezo, bali by choice!. Najua kuna wengi wanauzimia udaktari lakini hawana uwezo nao, lakini pia nakuhakikishia kuna wengine wengi mimi nikiwa mmoja wao, kwetu sisi udaktari sio dili then na sio dili now na labda hata mpaka kesho, udaktari hautakuwa dili bongo!.

Nasisitiza tena na tena, madai ya madaktari ni genuine ila sasa wanavimba vichwa!. Kwangu mimi madaktari ni watumishi tuu kama watumishi wengine wa umma, no preferential treatment kwao as if they are very special!. Wao ni watu, walimu pia ni watu na watumishi wengine wa serikali ni watu pia!. Pinda leo awaene na kuwaamuru warudi kazini by Jumatatu asubuhi kinyume cha hapo, they get fired!. No body is indispensable!.
!.

Kwa mtazamo huu basi nimekuelewa,

Kwako wewe daktari ni sawa na mwalimu wa chekechea? Neurosurgion ni sawa na PRO wa wizara???

Basi tena, kama watanzania wengi wanafikiria kama wewe, basi tufute hii taaluma ya udaktari ili tuwaangukie akina Prof Maji Marefu!!

Very pathetic in deed!

DC!!
 
Mkuu DC yeyote mwenye mawazo ya kutaka Madaktari wafukuzwe kufuatia kugoma kwao basi uwezo wake wa kuchanganua mambo ni mdogo sana. Hospitali zetu ziko katika hali mbaya na ya kutisha kutokana na hii Serikali taahira kutozipa kipaumbele kinachostahili kwa kuhakikisha wana vitendea kazi vya kisasa na pia wanalipwa vizuri ili wasipate tamaa ya kwenda kutafuta kazi nchi za nje.

Yule Waziri Mkuu Odinga alifanyiwa operesheni kubwa ya kichwa miaka michache iliyopita. operesheni hii ilifanyika Kenya lakinikama angekuwa Pinda basi asingethubutu kufanyiwa operesheni kama hiyo Tanzania. Angeenda India au nchi za magharibi na hii inatokana na hii serikali taahira kuzitelekeza hospitali zetu na kutozipa uzito unaostahili kwa kuwa wao wakiugua wanaenda kutibiwa nje tena kwa pesa za walipa kodi. Mie pia naunga mkono mgomo wa madaktari mwenye ubavu wa kuwafukuza awafukuze.



Huu mjadala umenisikitisha sana na kwa kweli umenisaidia kujua jinsi ambavyo Watanzania tusivyoheshimu kazi za wenzetu. Huko nyuma nilidhani ni watawala tu ndio wanawabeza wataalamu wazawa...Kumbe tunanyanyapaana pia wenyewe kwa wenyewe!!

Hata hivyo Rwanda wana mpango mkakati wa kuwa na hospital bora katika eneo zima la EA....Labda tutaanza kwenda kutibia huko!!

DC
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, mimi sio serikali, mimi pia ni mwananchi kama wewe hivyo siwezi kuisemea serikali. Ila pia Mkuu Mwanakijiji, serikali yetu unaijua fika, utendaji wake pia unaujua. Madai ya madaktari ni genuine so does madai ya waalimu na madai wa wafanyakazi. Uwezo wa serikali yetu pia unajulikana, hivyo madai yoyote ili yatekelezwe lazima pia yaendane na uhalisia wa uchumi na serikali yetu.

Tangu kwenye ile thread yako, nilikuambia naunga mkono mgomo wa madaktari na ni mimi niliongezea kuwa hao wabunge waliopitishiwa posho za 200, wanakaa kikao, kiti cha kuzunguka kwa masaa 7 tuu, wakati madaktari hata ikibidi hukaa round the clock!.

Ninatofautiana na madaktari hawa katika njia na shinikizo wanalotumia at the expense of loss of innocent lives!. Ndio maana nikapendekeze, wasikilizwe, nao waamriwe na kutekeleza maagizo ya kurejea kazini, kinyume cha hapo, just let them get fired!

Pasco ni rais sana kuvunja BUNGE kuliko kuwaza na kutekeleza kuwafukuza Madaktari wanaodai chao. sisi ambao tuna ukaribu na taaluma hiyo yunajua tu ugumu wake. Nadhani kama itakuwa hivyo nadhani Tanzania ya Kikwete itakuwa nchi ya Kwanza kufanya hivyo
 
Waziri mkuu katoa tamko la serikali. Jumatatu madaktari waende kazini wasipoenda wamejifukuzisha kazi.

Amebaini pia kwamba kiongozi wa.madaktari siyo mtumishi wa serikali na aliwahi kufutwa huko nyuma.
 
Back
Top Bottom