Mwene wa Yumbi
Member
- Aug 12, 2011
- 13
- 1
Lowassa na Magufuli wote wanafaa kuwa PM. Katka hilo jopo la magamba ni hao tu ambao angalau wana uwezo wa kufanya kazi. Wengine wengi vimeo.
Hivi wale samaki wa magufuli wali cost kiasi gani kuwahifadhi kwenye majokofu ya mmiliki wa vick fish? hivi mhe kwanini hakutumia majokofu ya kwenye meli akaamua kumpatia ulaji mdosi mfanya biashara? kweli ana maamuzi magumu lakini uamuzi wake uliohusu samaki maarufu kama samaki wa magufuli ulinifanya nimfikirie mara mbili ila naamini aliteleza na akipatiwa nafasi hataweza kurudia makosa ya kiufundi kama hayo.
shikamoo mkuuMagufuli hawezi kufanya kazi na JK. ni vitu viwili tofauti kabisa.