Augustine Moshi,
Mjomba, Hata Yesu alipokuwa ktk swaumu ya siku arobaini alipatwa na majaribio mengi tu mojawapo likiwa toka kwa shetani. Na kama angekubali kumsikiliza shetani angefanikiwa ktk mambo fulani na pengine Utajiri. Hizi ndizo siwa za Mkapa unazotupa -Utajiri wa shetani.
Na sina hakika kama kweli unaamini kasi ya mfumko wa bei ulishuka toka asilimia 30 hadi 4.9 kwa mtazamo upi hasa. Kuimbuka kuwa fedha yetu alipopokea nchi ilikuwa ni shilingi 500 kwa dola moja (1 USd) na katuchukua hadi sh. 1000 kwa 1 Usd....Hapa ndipo unaposhindwa kuiona tofauti ya kimahesabu na lugha inayotumiwa na hawa wachumi wa Mkapa. Nitarudia tena kukufahamisha ama kukukumbusha mazungumzo yetu ya miaka ileeee toka Bsctimes.
Sasa unapotazama mathlan thamani ya kitu tuseme Nyama ya ng'ombe. Wakati wa Mwinyi bei ya kilo moja ya nyama ilikuwa shilingi 1000...na wakati wa Mkapa nyama hiyo hiyo ilikuwa ikiuzwa 1500 kwa kilo...
Hapa hawa washenzi wataalamu wa nje ktk mahesabu hawataangalia bei ya nyama toka 1000 kwenda 1500 kwa kilo moja! ila wataitazama thamani ya shilingi yetu ktk dollar na kutoa takwimu zao kulingana na hali iliyopo hata kama sio hali halisi ya Mdanganyika.
Wakati wa Mkapa Sh 1500 unliyonunua kilo ya nyama ni sawa na Usd 1.50 lakini wakati wa Mwinyi ile Shilingi 1000 ilikuwa ni sawa na Usd 2 kwa hiyo wakati wa Mkapa kulikuwepo na upungufu wa bei bila kuzingatia kwamba wananchi wa Tanzania hupokea fedha za madafu na pia mishahara yao haikupanda wala kuongekeza kulingana na kushuka kwa thamani ya fedha yetu.
Mzee wangu, hawa jamaa wa nchi za nje hutupa mahesabu kutokana na figure tulizopewa, hiyo hali halisi tunaifahamu sisi wananchi walalahoi - Mimi na wewe.
Mjomba, Hata Yesu alipokuwa ktk swaumu ya siku arobaini alipatwa na majaribio mengi tu mojawapo likiwa toka kwa shetani. Na kama angekubali kumsikiliza shetani angefanikiwa ktk mambo fulani na pengine Utajiri. Hizi ndizo siwa za Mkapa unazotupa -Utajiri wa shetani.
Na sina hakika kama kweli unaamini kasi ya mfumko wa bei ulishuka toka asilimia 30 hadi 4.9 kwa mtazamo upi hasa. Kuimbuka kuwa fedha yetu alipopokea nchi ilikuwa ni shilingi 500 kwa dola moja (1 USd) na katuchukua hadi sh. 1000 kwa 1 Usd....Hapa ndipo unaposhindwa kuiona tofauti ya kimahesabu na lugha inayotumiwa na hawa wachumi wa Mkapa. Nitarudia tena kukufahamisha ama kukukumbusha mazungumzo yetu ya miaka ileeee toka Bsctimes.
Sasa unapotazama mathlan thamani ya kitu tuseme Nyama ya ng'ombe. Wakati wa Mwinyi bei ya kilo moja ya nyama ilikuwa shilingi 1000...na wakati wa Mkapa nyama hiyo hiyo ilikuwa ikiuzwa 1500 kwa kilo...
Hapa hawa washenzi wataalamu wa nje ktk mahesabu hawataangalia bei ya nyama toka 1000 kwenda 1500 kwa kilo moja! ila wataitazama thamani ya shilingi yetu ktk dollar na kutoa takwimu zao kulingana na hali iliyopo hata kama sio hali halisi ya Mdanganyika.
Wakati wa Mkapa Sh 1500 unliyonunua kilo ya nyama ni sawa na Usd 1.50 lakini wakati wa Mwinyi ile Shilingi 1000 ilikuwa ni sawa na Usd 2 kwa hiyo wakati wa Mkapa kulikuwepo na upungufu wa bei bila kuzingatia kwamba wananchi wa Tanzania hupokea fedha za madafu na pia mishahara yao haikupanda wala kuongekeza kulingana na kushuka kwa thamani ya fedha yetu.
Mzee wangu, hawa jamaa wa nchi za nje hutupa mahesabu kutokana na figure tulizopewa, hiyo hali halisi tunaifahamu sisi wananchi walalahoi - Mimi na wewe.