Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Tanzania, aka mtoto wa mkulima huko Sumbawanga alipokuwa analiomba radhi kanisa kuhusu kashfa ya udhalilishaji wa imani, ametamka wazi kuwa kugawa kanga kipindi cha kugombea nafasi za uongozi ni rushwa. Alitamka hivyo alipogusia suala la rushwa katika uchaguzi ambao chama cha CCM kiliibuka na kashfa kubwa ya kutumia rushwa tangu kura za maoni. Amewaasa wanaccm kubadilika ingawa ni kazi ngumu alisema.
:target:
:target: